JK alipokuwa akichekelea mgao wa umeme jana!


Nimependa sana huo msamiati hapo kwenye rangi ya majani.
 
Jamaa yetu nchi imeshamponyoka kilichobaki anaangalia itaangukia wapi, hana majibu katika maswali magumu mnayouliza hapa.

Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
Ayaondoe magamba TANESCO kwani wanatumiwa na Richmond/Dawans/Symbion kumkwamisha aonekane ameshindwa.Afumue TANESCO na Wizara ya Nishati na Madini kama mambo hayajabadilika.JK sikia maoni yetu yakusaidie kuondoa matatizo ya umeme na usicheke kabisa na wezi/mafisadi/magamba.
 
Huwa najiuliza hivi hili gonjwa na "Hysteria" hata wanaume huwa linawapata?
 
Mi nadhani hao viongozi walikuwa wanamcheka. Au walikuwa wanafurahia kualikwa kwenda kula mema ya nchi na Mz
 


haya ndo matatizo ya kuweka viongozi wakubwa kama ngazi ya urais ,kwa kuangalia vikabila vidogo badala ya kuangalia uwezo wa mtu!!!!
what a rubbish ccm???

"changes begins wt u"
 
Jk kaharibu usiku wangu jana, eti viongoz wa dini wapo karibu na mungu, waombe amani, maendeleo, waombe mvua inyeshe>mabwawa yajaye> mgao uishe. Kuna unafika najuta kuwepo tz chini ya huyu mtu.
 
jamani katika sherehe yeyote bila kicheko hiyo siyo sherehe. Lazima tutofautishe kati ya sherehe na msiba. Kama JK angecheka msibani kicheko hicho, mimi ningeshangaa sana . Ila kucheka shereheni, RUKHSA! katika hiyo picha nimeguswa sana na sheepesh smile ya sister aliye wa pili kushoto kwa raisi.

Maana kaonesha haibu za kike za hali ya juu sana mpaka anajishika Gauni!!! Halafu kinachofurahisha zaidi katika hiyo picha utaona masister wawili kulia kwa raisi wana pozi za guts sana na hawana haibu za kike, wa kushoto wote wana onesha haibu za kike!

Yaani picha hii nimeipenda mpaka nimeiweka katika maktaba yangu basement!
 
Mbona siwaoni hao Viongozi wa Dini!! Wanawake huwa wanaongozwa na si Kuongoza... ndio mana alikuwa anawacheka!
 
<br />
<br />


Kwani mkuu umesahau kwamba huu ndo mwezi wake wa kudondoka dondoka??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…