Habari nilizozipata hivi karibuni ni kuwa kumbe JK alidanganywa na maafisa wa NICOL na kwenda kufungua kiwanda cha samaki Mwanza na baada tu ya kufanyiwa usaini wa kuonyeshwa process ya kuakata samaki, kiwanda hicho hakikufanya kazi tena. DOH! jamaa yetu aliingizwa mjini.
Na taarifa za hivi karibuni ni kuwa kiwanda hicho kiko chini ya mufilisi na kimetangazwa kuuzwa kwa kuwa wameshindwa kulipa deni la Bank (ABC). Sasa huu ni utapeli wa kupitiliza. Kwanza wamewatapeli Watanzania masikini kabisa wamekusanya pesa nchi nzima, halafu wakawekeza kisanii, halafu kana kwamba hiyo haitoshi wakamualika Raisi wetu mpendwa kwenda kuweka muhuri usanii wao.
Haya jamani, wakifanya wahindi, ni mafisadi mapapa, je hawa waswahili wenzetu tutawaitaje?
Kazi kweli kweli.
Na taarifa za hivi karibuni ni kuwa kiwanda hicho kiko chini ya mufilisi na kimetangazwa kuuzwa kwa kuwa wameshindwa kulipa deni la Bank (ABC). Sasa huu ni utapeli wa kupitiliza. Kwanza wamewatapeli Watanzania masikini kabisa wamekusanya pesa nchi nzima, halafu wakawekeza kisanii, halafu kana kwamba hiyo haitoshi wakamualika Raisi wetu mpendwa kwenda kuweka muhuri usanii wao.
Haya jamani, wakifanya wahindi, ni mafisadi mapapa, je hawa waswahili wenzetu tutawaitaje?
Kazi kweli kweli.