Huyu aliyeshindwa kuwaunganisha watanzania na kuwatilia sumu ya udin?
Laana ya baba wa taifa itamfaata popote aendapo.
Kama rais alitakiwa atuambie mpaka sasa amefikia wapi kuutokomeza udini aliousisi na kupelekea makanisa zaidi ya 20 kuchomwa zanzibar, zaid ya matatu kuharibiwa Dar, zaid ya mawili kuharibiwa Ruvuma zaid ya mawili kuharibiwa Kigoma nk.
Kama Rais anatakiwa kutuongoza watanzania kuitafuta amani ya kweli na maendeleo yetu. Kutuletea habari za kagawa kadi ngapi, wapi na kwa nani ni kama upuuzi akiacha masuala mazito nayamuhimu yakitutesa watanzania kama
Mfumko wa bei
Afya duni
Elimu mbovu
Ufisadi na kuwakumbatia mafisadi nk
Amwachie mangula, Nape na mzee wa mikasi kupokea kadi na takataka zingine yeye ashughulikie mambo ya kitaifa zaidi sio kichama.
Laana ya baba wa taifa itamfaata popote aendapo.
Kama rais alitakiwa atuambie mpaka sasa amefikia wapi kuutokomeza udini aliousisi na kupelekea makanisa zaidi ya 20 kuchomwa zanzibar, zaid ya matatu kuharibiwa Dar, zaid ya mawili kuharibiwa Ruvuma zaid ya mawili kuharibiwa Kigoma nk.
Kama Rais anatakiwa kutuongoza watanzania kuitafuta amani ya kweli na maendeleo yetu. Kutuletea habari za kagawa kadi ngapi, wapi na kwa nani ni kama upuuzi akiacha masuala mazito nayamuhimu yakitutesa watanzania kama
Mfumko wa bei
Afya duni
Elimu mbovu
Ufisadi na kuwakumbatia mafisadi nk
Amwachie mangula, Nape na mzee wa mikasi kupokea kadi na takataka zingine yeye ashughulikie mambo ya kitaifa zaidi sio kichama.