Jitambue kuwa uko deadline

ladyfurahia

JF-Expert Member
May 10, 2011
14,699
9,462
HABARINI WADAU

Muda mwingi nakuwa mtazamaji na msomaji wa thread za wadau humu ndani sijaweka chapisho kwa muda sasa tplakana na kubanwa na shughuli nyingi sana za kijamii

Leo napenda kuongelea jambo moja ambalo ni "KUJITAMBUA KUA UKO DENJAZONE"
mwanadamu tumeumbwa tofauti sana wako wenigine dizaini tofauti kuhusu akili, mioyo, na kimaisha
kwanini napenda kusema jambo hili la hasha napenda niseme jambo kuwa tuko kwenye mchakato wa utafutaji maisha, yaani riziki zetu na kila mmoja ana njia zake za kutafuta, wako wanaotafuta kwa uzuri na wengine kwa ubaya ilimradi tu wapate riziki za maisha yao

Ila leo ningepependa nisema jambo je unatafuta riziki kwa njia ipi je kwa njia halali au mbaya?
wako wanaotafuta njia mbaya na hao mwisho wao unakuwa mbyaya ni vyema ukajinasua na kutatfuta kwa uzuri tu ndo vyema

Tuko dakika za mwisho za denjazone je kijana umeshajiset kivipi kimaisha au je umejiwekaje kutoka katika hali ulioyonayo ya utafutaji na kuwa juu kimaendeleo? unatambua kuwa miaka inasonga wala hairudi nyuma, UMEJIPANGAJE au uko katika hatua zipi za utafutaji wa maisha yako hususani kimaendeleo , kiuchumi , kiafya ama kiakili pia

TAMBUA KUWA UKO KWA HATUA ZA UTAFUTAJI WA KIHALALI NA KUTOKA KATIKA HALI YA UDUNI
JITAMBUE NA CHUKUA HATUA TENA

Wasalaamu
LADYF
 
Tuko zama ambazo utafutaji halali haukufanyi upate mafanikio yanayoitwa na kuonekana kama mafanikio.

Hakuna anayekubali na kuridhika na mafanikio binafsi,kila mtu yuko kwenye riadha na harakati za kumpiku au kuwa kama yulee,hali hii imefanya kuwe na pande mbili za walaji na waliwaji.usipokaa kimkakati unatumika kuvusha wengine wanapooataka.
Hii inafanya dunia kutokuwa sehemu salama tena yakuishi.
 
Tuko zama ambazo utafutaji halali haukufanyi upate mafanikio yanayoitwa na kuonekana kama mafanikio.

Hakuna anayekubali na kuridhika na mafanikio binafsi,kila mtu yuko kwenye riadha na harakati za kumpiku au kuwa kama yulee,hali hii imefanya kuwe na pande mbili za walaji na waliwaji.usipokaa kimkakati unatumika kuvusha wengine wanapooataka.
Hii inafanya dunia kutokuwa sehemu salama tena yakuishi.
ila sasa changamoto inakuja pale unatafuta kwa njia zisizohalali halafu unakamatwa na kusekwa ndani huoni kuwa hapo ndo unakuwa mwisho wa hatma yako
 
ila sasa changamoto inakuja pale unatafuta kwa njia zisizohalali halafu unakamatwa na kusekwa ndani huoni kuwa hapo ndo unakuwa mwisho wa hatma yako

Wanasema ukijua ya mbele kumbuka na ya nyuma pia,wauza poda wote wanajua kama wanachofanya siku moja wanaweza ingia matatani,ndio sababu wanaweka kinga ktk biashara zao.

Kufanya magendo bila kujihakikishua usalama kabla ni ukichaa.
 
Mhubiri 1 📌📌📌🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

Screenshot_20231101_153902_Swahili Bible Offline.jpg
 
Back
Top Bottom