Ngosha_Sanifu_lupoja
Member
- Jun 14, 2016
- 14
- 11
Hapa kwenye nyumba nilipopanga tupo wapangaji wawili kama kila mtu upande wake .
Miezi miwili iliyopita nilikua likizo kwa hiyo mara kwa mara nilikua nawahi kurudi nyumbani.
Daah mara nyingi nilikua nakutana na godoro limetolewa nje sehemu ile kuna string za kuanikia nguo,ikumbukwe hiyo sehemu ya kamba za kuanikia nguo tunashare,
Dada ni Sista duu na ni Kauzu so hatunaga story zaidi ya kukumbushana LUKU kama ni necessary kufanya hivyo
Siku moja nikiwa na my g.f,(kabla sijaamua kudate single mom) kumbe naye alikua akijaga na kuona but anapotezea,akaanzisha hiyo maada ya tatizo la jirani.
Binafsi hilo tatizo kuna ndugu yangu ashawahi kuwa kikojozi hadi akiwa form 3 ndipo likizo moja shule tukaendaga kumsalimia shangazi mmoja,akanielekeza miti shamba,ilikua just mizizi ya vimmea fulani,offcourse sijawahi iona hapa mjini ila incase mtu akiihitaji siwezi ikosa nikienda kule tuliitolea,akawa anatafuna na kuloweka kwenye kikombe cha maji anakunywa kadri awezavyo,Siyo chungu according to him,likizo haikuisha akawa kashapona kabisa hadi leo anakimbilia 30's
G.F aliogopa kumwabia yule jirani maana anamfahamu ni cha bangi japo mdada umri umeenda,si unajua hawa dada zetu "wasomi na uzungu na uamerika"
Binafsi siwezi mwambia,itakua unafiki na umbea wa hali ya juu
Wakuu nafanyaje kumsaidia huyu jirani,,ikumbukwe ni cha bangi,mie mwenyewe i had a proof of this.
N.B.Tuache theories,kukojoa kitandani ni tatizo la kiafya,lazima utibiwe,hospitali bado hawajagundua dawa,,ooh sijui kutokunywa maji mengi usiku,sijui kumzoesha kumuamsha usiku mhusika akojoe,,it doesn't work
Miezi miwili iliyopita nilikua likizo kwa hiyo mara kwa mara nilikua nawahi kurudi nyumbani.
Daah mara nyingi nilikua nakutana na godoro limetolewa nje sehemu ile kuna string za kuanikia nguo,ikumbukwe hiyo sehemu ya kamba za kuanikia nguo tunashare,
Dada ni Sista duu na ni Kauzu so hatunaga story zaidi ya kukumbushana LUKU kama ni necessary kufanya hivyo
Siku moja nikiwa na my g.f,(kabla sijaamua kudate single mom) kumbe naye alikua akijaga na kuona but anapotezea,akaanzisha hiyo maada ya tatizo la jirani.
Binafsi hilo tatizo kuna ndugu yangu ashawahi kuwa kikojozi hadi akiwa form 3 ndipo likizo moja shule tukaendaga kumsalimia shangazi mmoja,akanielekeza miti shamba,ilikua just mizizi ya vimmea fulani,offcourse sijawahi iona hapa mjini ila incase mtu akiihitaji siwezi ikosa nikienda kule tuliitolea,akawa anatafuna na kuloweka kwenye kikombe cha maji anakunywa kadri awezavyo,Siyo chungu according to him,likizo haikuisha akawa kashapona kabisa hadi leo anakimbilia 30's
G.F aliogopa kumwabia yule jirani maana anamfahamu ni cha bangi japo mdada umri umeenda,si unajua hawa dada zetu "wasomi na uzungu na uamerika"
Binafsi siwezi mwambia,itakua unafiki na umbea wa hali ya juu
Wakuu nafanyaje kumsaidia huyu jirani,,ikumbukwe ni cha bangi,mie mwenyewe i had a proof of this.
N.B.Tuache theories,kukojoa kitandani ni tatizo la kiafya,lazima utibiwe,hospitali bado hawajagundua dawa,,ooh sijui kutokunywa maji mengi usiku,sijui kumzoesha kumuamsha usiku mhusika akojoe,,it doesn't work