Jirani yangu kikojozi: Kila mara anaanika godoro dawa ya tatizo lake ninaijua, naanzaje kumueleza.

Jun 14, 2016
14
11
Hapa kwenye nyumba nilipopanga tupo wapangaji wawili kama kila mtu upande wake .
Miezi miwili iliyopita nilikua likizo kwa hiyo mara kwa mara nilikua nawahi kurudi nyumbani.
Daah mara nyingi nilikua nakutana na godoro limetolewa nje sehemu ile kuna string za kuanikia nguo,ikumbukwe hiyo sehemu ya kamba za kuanikia nguo tunashare,
Dada ni Sista duu na ni Kauzu so hatunaga story zaidi ya kukumbushana LUKU kama ni necessary kufanya hivyo
Siku moja nikiwa na my g.f,(kabla sijaamua kudate single mom) kumbe naye alikua akijaga na kuona but anapotezea,akaanzisha hiyo maada ya tatizo la jirani.
Binafsi hilo tatizo kuna ndugu yangu ashawahi kuwa kikojozi hadi akiwa form 3 ndipo likizo moja shule tukaendaga kumsalimia shangazi mmoja,akanielekeza miti shamba,ilikua just mizizi ya vimmea fulani,offcourse sijawahi iona hapa mjini ila incase mtu akiihitaji siwezi ikosa nikienda kule tuliitolea,akawa anatafuna na kuloweka kwenye kikombe cha maji anakunywa kadri awezavyo,Siyo chungu according to him,likizo haikuisha akawa kashapona kabisa hadi leo anakimbilia 30's
G.F aliogopa kumwabia yule jirani maana anamfahamu ni cha bangi japo mdada umri umeenda,si unajua hawa dada zetu "wasomi na uzungu na uamerika"
Binafsi siwezi mwambia,itakua unafiki na umbea wa hali ya juu
Wakuu nafanyaje kumsaidia huyu jirani,,ikumbukwe ni cha bangi,mie mwenyewe i had a proof of this.
N.B.Tuache theories,kukojoa kitandani ni tatizo la kiafya,lazima utibiwe,hospitali bado hawajagundua dawa,,ooh sijui kutokunywa maji mengi usiku,sijui kumzoesha kumuamsha usiku mhusika akojoe,,it doesn't work
 
sema ni wewe anyway hizo ndoto na dawa yake chukua mkaa uliotumika 1 au 2 weka kwenye mto wa kulala chini.


swissme
 
Kukojoa kitandani anakojoa yeye we we unaumia nini kwani anakutuma kuanika godoro? Watu wengine bwana!
 
Hapa kwenye nyumba nilipopanga tupo wapangaji wawili kama kila mtu upande wake .
Miezi miwili iliyopita nilikua likizo kwa hiyo mara kwa mara nilikua nawahi kurudi nyumbani.
Daah mara nyingi nilikua nakutana na godoro limetolewa nje sehemu ile kuna string za kuanikia nguo,ikumbukwe hiyo sehemu ya kamba za kuanikia nguo tunashare,
Dada ni Sista duu na ni Kauzu so hatunaga story zaidi ya kukumbushana LUKU kama ni necessary kufanya hivyo
Siku moja nikiwa na my g.f,(kabla sijaamua kudate single mom) kumbe naye alikua akijaga na kuona but anapotezea,akaanzisha hiyo maada ya tatizo la jirani.
Binafsi hilo tatizo kuna ndugu yangu ashawahi kuwa kikojozi hadi akiwa form 3 ndipo likizo moja shule tukaendaga kumsalimia shangazi mmoja,akanielekeza miti shamba,ilikua just mizizi ya vimmea fulani,offcourse sijawahi iona hapa mjini ila incase mtu akiihitaji siwezi ikosa nikienda kule tuliitolea,akawa anatafuna na kuloweka kwenye kikombe cha maji anakunywa kadri awezavyo,Siyo chungu according to him,likizo haikuisha akawa kashapona kabisa hadi leo anakimbilia 30's
G.F aliogopa kumwabia yule jirani maana anamfahamu ni cha bangi japo mdada umri umeenda,si unajua hawa dada zetu "wasomi na uzungu na uamerika"
Binafsi siwezi mwambia,itakua unafiki na umbea wa hali ya juu
Wakuu nafanyaje kumsaidia huyu jirani,,ikumbukwe ni cha bangi,mie mwenyewe i had a proof of this.
N.B.Tuache theories,kukojoa kitandani ni tatizo la kiafya,lazima utibiwe,hospitali bado hawajagundua dawa,,ooh sijui kutokunywa maji mengi usiku,sijui kumzoesha kumuamsha usiku mhusika akojoe,,it doesn't work
Mpasulie ukweli, akikubali akiacha kimpango wake,
 
Umbea Huo, na hata kama ni kweli kikojozi ww inakuhusu nn? Kwana analalia godoro lako? Fuata yako ukiangalia ya mwenzio utachelewa kufanya yako.
 
Watu wamepanic hapa,

Naona watu wengi ni vikojozi, hapa wamepanic baada ya kuona Dawa haojawekwa wazi na mleta mada. Kimsingi tatizp hili lipo msiogope kujiweka wazi..!!

Kumbukeni mficha maradhi kifo humuumbua eboo

BACK TANGANYIKA
 
Andika kaujumbe....kaweke chini ya mlango...weka maelezo yote na weka namba ya simu ya (single mom) au hata sister wako kuwa akitaka maelezo zaidi awasiliane naye!! kama ana nia atampigia na utakuwa umeshamwambia hali yote!!
 
Andika kaujumbe....kaweke chini ya mlango...weka maelezo yote na weka namba ya simu ya (single mom) au hata sister wako kuwa akitaka maelezo zaidi awasiliane naye!! kama ana nia atampigia na utakuwa umeshamwambia hali yote!!
Wewe jamaa kama ulikuwa kichwani mwangu.
 
Back
Top Bottom