Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,468
Nilipokuwa natoka matembezi usiku huu,saa nne na nusu,nikamwona jirani yangu,yaani anakaa nyumba ya jirani,anapiga kelele,anazungumza na sauti KAMA SIMBA,maneno aliyokuwa anarudia rudia ni"Niondoe katika hali hii. Mateso yamezidi" Nimesimama pale namsikiliza,halafu tena akatokea dada yake,naye pia kapagawa to a lesser extent. Basi,hatimaye nikakosa imani,nikakimbia kwenda nyumbani. Halafu baadaye nikarudi baada ya muda mfupi,huku nimebadili nguo,nimevaa joho langu la kutafakari. Joho jeusi kubwa,lenye mikono mirefu sana na hood. Mikauliza kuna nini,nikaambiwa yule ana mapepo na dada yake pia. Basi,baada ya kuongea kidogo,nikasema,bila shaka hii ni kwa ajili ya huu mwezi mpevu. Tarehe 20 July ilikuwa siku ya mwezi mpevu.
Nimefikiria yale maneno aliyokuwa anayasema,niondoe kwenye mateso haya. Remove this cup from me .Bila shaka mapepo yanamsumbua sana. Lakini that person is living in squalor. Ni hawa watu wana viwanja binafsi. Hawaguswi kama hawataki kuviuza. Kwa hiyo wanaishi katika vibanda besides rich people. Again I say nilikuwa nayafikiria maneno yake,niondoe kutoka kwenye mateso haya. Inawezekana kwamba mateso aliyokuwa anayazungumza ni pamoja na umaskini?
Nimefikiria yale maneno aliyokuwa anayasema,niondoe kwenye mateso haya. Remove this cup from me .Bila shaka mapepo yanamsumbua sana. Lakini that person is living in squalor. Ni hawa watu wana viwanja binafsi. Hawaguswi kama hawataki kuviuza. Kwa hiyo wanaishi katika vibanda besides rich people. Again I say nilikuwa nayafikiria maneno yake,niondoe kutoka kwenye mateso haya. Inawezekana kwamba mateso aliyokuwa anayazungumza ni pamoja na umaskini?