Jirani huyo

Jirani huyo

Mchepuko1

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2018
Posts
215
Reaction score
103
Hivi mie huwa najiuluza hawa ambayo hutongoza dem au boi mtaana mmoja huwa wanaishi kwa raha kweli
 
Dah... nimekula beki3 za mtaa mzima....mbona niko poa tu..
 
weeeee wala sikushauri.... inakera sana hasa ukutane na mtu king'ang'anizi... utajihisi ushaingia kwenye ndoa kwa jinsi ambavyo atakuganda masaa 24
Kwanini umruhusu akugande si wampiga chini tu
 
Back
Top Bottom