Jipatie simu mpya

Jipatie simu mpya

mc gregor

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2017
Posts
1,121
Reaction score
2,194
*DON TRADERS*

Samsung galaxy J7(2015) *320k*
Samsung galaxy A7(2015). *320k*
Samsung galaxy s6edge. *450k*
Simu zite ni brand new full accesories

All colors available

Call *0716119347*


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
*DON TRADERS*

Samsung galaxy J7(2015) *320k*
Samsung galaxy A7(2015). *320k*
Samsung galaxy s6edge. *450k*
Simu zite ni brand new full accesories

All colors available

Call *0716119347*


Sent from my iPhone using JamiiForums
Upo wap mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mizigo ipo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unauza simu lakin huna simu yenye camera tapeli wew weka picha hapa sio watu wote wanazijua izo simu
 
Mkuu nitafanya hivyo asante kwa ushauri
Makampuni mbalimbali huuza vitu kwa kuonesha picha mfano kampuni za magari/nyumba,vipuri,nguo nk
Sasa sijui wewe unakwama wapi?
Mtafute mtu wa marketing akupe a,b,c
 
Unauza simu lakin huna simu yenye camera tapeli wew weka picha hapa sio watu wote wanazijua izo simu
Ingia Internet tafuta picha zake simu ushaambiwa ni mpya unataka picha ya nn?? Au hujui unachoulizia?
 
Mtoa tangazo ukitaka upate wateja na Kama unaona Hasara kufungua hayo mabox basi pga picha tu hzo box tuzione si unaona ule uzi wa wauza smartphone ni mwendo wa picha tu pia inasaidia kumshawishi mteja
 
Mtoa tangazo ukitaka upate wateja na Kama unaona Hasara kufungua hayo mabox basi pga picha tu hzo box tuzione si unaona ule uzi wa wauza smartphone ni mwendo wa picha tu pia inasaidia kumshawishi mteja
Kweli mkuu ngoja nifanye hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom