Jipatie Mchele safi kutoka Mbeya

Jipatie Mchele safi kutoka Mbeya

Mkambuga800

New Member
Joined
Jul 12, 2019
Posts
3
Reaction score
3
๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ
Usipate tabu ya kuchambua mchele uliojaa chuya, mawe kama yote

Tunakupa Mchele ulionyoookaa
Hauna mchanga
Hauna chuya
Kwa ajili ya pishi lako hotelini kwako, kwenye shughuli yako hata dukani kwako

Mchele swafi kutoka mbeya
Hutumii mafuta mengi
Tupigie tukuletee
DODOMA MJINI
Simu 0762290384
Whatsapp 0762290384

๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ
 
๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ๐ŸŒพ
Usipate tabu ya kuchambua mchele uliojaa chuya, mawe kama yote

Tunakupa Mchele ulionyoookaa
Hauna mchanga
Hauna chuya
Kwa ajili ya pishi lako hotelini kwako, kwenye shughuli yako hata dukani kwako

Mchele swafi kutoka mbeya
Hutumii mafuta mengi
Tupigie tukuletee
DODOMA MJINI
Simu 0762290384
Whatsapp 0762290384

๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ๐ŸŒฝ
Ndugu yangu wateja wengi sana cha kwanza anachoangalia ni bei alafu kuanzia hapo ndio atauliza mambo mengine kuhusu bihashara yako ndio watanzania wengi tulivyo tuko price conscious. Hata mimi kama mtu kaweka tangazo bila bei hapo hata kujiuliza mara mbili kuhusu bidhaa yake hakuna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom