Jipatie kuku wa mayai (layers)

Jipatie kuku wa mayai (layers)

YJS

Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
18
Reaction score
41
habari wana jamii forum.
nahitaji vifaranga 500 wa mayai (layers), mwenye ujuzi wa wapi nitapata vifaranga wazuri na bei ya kifaranga ni sh. ngapi naomba anisaidie majibu.
nipo Dar es salaam
asante sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom