msukuma fekero
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 2,385
- 3,148
Kuku wa sasso wao ni wakubwa zaidi na wanataga sana kuliko malawi. Faida kwa ujumla ni sasso maana wana soko pia kama utawauza kwa nyama
acha uongo wa ikulu wewe sasso hataweza kamwe kutaga kuzidi malawi sema tu ukweli kwamba sasso ni best kwenye minofu na Malawi ni bora kwenye kutaga basi