Nipo nzega mkoani tabora...naweza kuipata wapNiko Mbeya, unaweza kuipata dawa hii popote Tanzania. Tuna vituo katika karibu Kila WILAYA
Pre or post maana kabra na baada
- Flexible application timing pre - or post - emegence of both the weed and the crop. iyo statement kitaalamu ana maana gani? nimekuta maelekezo ya iyo dawa. je litre ni bei gani? heka inatakiwa litre ngap?
Kwa Moro tupo Mazimbu branch office na Ifakara ofisi ndogoKwa morogoro mpo wapi?
Lamex ni ya chengachenga, gram 400 pakiti moja na inatosha Eka moja. Bei sh 15,000 tuLamex ni shs ngapi kwa 60mls na unatumia kabla au baada ya kupanda mahindi?
Nzega utaipata kutoka ofisi zetu za kanda Kahama na Tabora mjini. Naweza kukupa mawasiliano ya madukabyetu hapo nzegaNipo nzega mkoani tabora...naweza kuipata wap
Ana maanisha unaweza kutumia kabla magugu kuota na hata baada ya magugu kuotaPre or post maana kabra na baada
Naomba mawasiliano yenu pmNzega utaipata kutoka ofisi zetu za kanda Kahama na Tabora mjini. Naweza kukupa mawasiliano ya madukabyetu hapo nzega
Kwa dar mnapatikana wapiAna maanisha unaweza kutumia kabla magugu kuota na hata baada ya magugu kuota
RiceBac ni kiua magugu kitumikacho kuangamiza magugu ya aina mbalimbali katika zao la mpunga.Kwa morogoro mpo wapi?