Habari wakuu...
Nadhani sote tunafahamu kuwa wengi wetu kulingana na sababu kadhaa tunalazimika kutumia cracked softwares.
Sasa mimi nina software ya fl studio 12 ambayo niliitafuta kwa ajili ya kutengeneza beats for fun tu. Lakini shida ni kuwa natumia windows 10 na kama mnavyojua windows 10 haina mchezo kabisa. Imekuwa ikiibatua hii fl studio ndani ya dakika chache tu baada ya kuwa installed. Sometimes hata kabla ya installation kukamilika inakuwa ishazolewa tayari, unapomaliza kuinstall unakuta haifanyi kazi kabisa.
Nimejaribu njia kadhaa kutatua hii changamoto lakini nimeshindwa.
Njia zenyewe ni kama,
1. Kuzima window defender wakati wa kuinstall.
2. Kuzuia window defender isi'scan kwenye ma folder yenye hii softwere.
Njia hizi mbili hazijazaa matunda, hivyo naomba msaada katika hili kama kuna uwezekano.
Nadhani sote tunafahamu kuwa wengi wetu kulingana na sababu kadhaa tunalazimika kutumia cracked softwares.
Sasa mimi nina software ya fl studio 12 ambayo niliitafuta kwa ajili ya kutengeneza beats for fun tu. Lakini shida ni kuwa natumia windows 10 na kama mnavyojua windows 10 haina mchezo kabisa. Imekuwa ikiibatua hii fl studio ndani ya dakika chache tu baada ya kuwa installed. Sometimes hata kabla ya installation kukamilika inakuwa ishazolewa tayari, unapomaliza kuinstall unakuta haifanyi kazi kabisa.
Nimejaribu njia kadhaa kutatua hii changamoto lakini nimeshindwa.
Njia zenyewe ni kama,
1. Kuzima window defender wakati wa kuinstall.
2. Kuzuia window defender isi'scan kwenye ma folder yenye hii softwere.
Njia hizi mbili hazijazaa matunda, hivyo naomba msaada katika hili kama kuna uwezekano.