Mkali Tricks
JF-Expert Member
- Aug 18, 2017
- 488
- 310
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH
JINSI YA KUWEKA PASSWORD PARTITION ZA HARD DISK.
HATUA
1. Right Click Hiyo Partition, Kisha Bofya TURN ON BITLOCKER
2. Utaweka Weka Tiki Kwenye USE A PASSWORD TO UNLOCK THE DRIVE. Chini Yake Kuna Maelekezo Ya Vipi Password Yako Iwe.
3. Utaweka Password Yako Kwenye Box La Kwanza, Kisha Utairudia Kwenye Box La Pili.Bofya NEXT.
4. Double Click SAVE TO FILE, Kisha Chagua Sehemu Ya Ku Save (Upande Wa Kushoto), Kwenye FILE NAME Utaandika Jina Lolote. Kwenye SAVE AS TYPE Utachagia ALL FILES , Bofya SAVE Kisha YES.
5.Bofya NEXT Kisha Chagua ENCRYPT ENTIRE DRIVE (SLOWER BUT BEST FOR PCs AND DRIVES ALREADY IN USE) Kisha Bofya NEXT.
6. Bofya NEXT, Kisha Bofya START ENCRYPT.
7. Utasubiri I-load Mpaka Imailize (Itachukua Mda) So Kwa Kufanya Mambo Yawe Mepesi, RESTART .
8. Uki RESTART, Baada Ya Kuwaka,
Hiyo Partition Itakuwa Ina Password.
KAMA SIJAELEWEKA, UNAWEZA UKACHEKI VIDEO HAPO CHINI
NB: Kutokana Na Mada Kuwa Ndefu, Kitu Kinachokuja Kutokea Ni Kwamba VIDEO INA PART 1& 2.
Hii Ni Part 1, Kwa Mahitaji Ya Part 2 Nenda Kwenye DESCRIPTION Ya Video Hii (Part 1)
Part 2 Inaelezee Namna 2 Za Ku Unlock Password Uliyoiweka, Aina Ya Kwanza Ni Kwa Kutumia Password uliyoiweka, Na Aina Ya Pili Itakusaidia Endapo Utakuwa Umesahau Password.
JINSI YA KUWEKA PASSWORD PARTITION ZA HARD DISK.
HATUA
1. Right Click Hiyo Partition, Kisha Bofya TURN ON BITLOCKER
2. Utaweka Weka Tiki Kwenye USE A PASSWORD TO UNLOCK THE DRIVE. Chini Yake Kuna Maelekezo Ya Vipi Password Yako Iwe.
3. Utaweka Password Yako Kwenye Box La Kwanza, Kisha Utairudia Kwenye Box La Pili.Bofya NEXT.
4. Double Click SAVE TO FILE, Kisha Chagua Sehemu Ya Ku Save (Upande Wa Kushoto), Kwenye FILE NAME Utaandika Jina Lolote. Kwenye SAVE AS TYPE Utachagia ALL FILES , Bofya SAVE Kisha YES.
5.Bofya NEXT Kisha Chagua ENCRYPT ENTIRE DRIVE (SLOWER BUT BEST FOR PCs AND DRIVES ALREADY IN USE) Kisha Bofya NEXT.
6. Bofya NEXT, Kisha Bofya START ENCRYPT.
7. Utasubiri I-load Mpaka Imailize (Itachukua Mda) So Kwa Kufanya Mambo Yawe Mepesi, RESTART .
8. Uki RESTART, Baada Ya Kuwaka,
Hiyo Partition Itakuwa Ina Password.
KAMA SIJAELEWEKA, UNAWEZA UKACHEKI VIDEO HAPO CHINI
NB: Kutokana Na Mada Kuwa Ndefu, Kitu Kinachokuja Kutokea Ni Kwamba VIDEO INA PART 1& 2.
Hii Ni Part 1, Kwa Mahitaji Ya Part 2 Nenda Kwenye DESCRIPTION Ya Video Hii (Part 1)
Part 2 Inaelezee Namna 2 Za Ku Unlock Password Uliyoiweka, Aina Ya Kwanza Ni Kwa Kutumia Password uliyoiweka, Na Aina Ya Pili Itakusaidia Endapo Utakuwa Umesahau Password.