JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
1: Wafundishe Watoto kuhusu #COVID19, na namna inavyosambaa pamoja na madhara yake. Waeleze bila ya kuwatisha
2: Wafundishe kunawa mikono yao kwa Maji Tiririka kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" yenye kiwango cha kilevi kwa asilimia 60
3: Waeleze umuhimu wa kukaa mbali na watu pamoja na kuwaepuka wanaopiga chafya na kukohoa bila ya kujikinga
4: Safisha kwa kufuata maelekezo ya afya kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" maeneo yote ambayo watoto wanaweza kugusa(Meza, viti, na vitu vingine wanavyokula)