ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,670
- 21,773
Kila mara weka picha akilini mwako vile unavyotaka kuwa,weka mawazo yako unataka kuwa mtu wa namna gani
Ili ufanikiwe inatakiwa uwe na mlengo wa kuona mafanikio mbele yako,mfano unapenda kuwa na ndinga flani hapa town/gari ya ndoto yako,basi waza kana kwamba upo ndani ya hiyo gari una cruise mitaa ya town
Hauwezi kufanikiwa kama ndani ya akili yako unawaza mambo ya kutofanikiwa (you can't succeed if you mentally picture as a failure) hii ni sheria ya ulimwengu (This is uneversal law of consistency ; you cannot think (mentally picture one think and be or do anaother)
Hauwezi kuwaza umaskini halafu ukawa tajiri
Hauwezi ukawaza upendo halafu ukawa na chuki
Unaweza kuja kuwa mtu yoyote unayetaka kuwa kwasababu mawazo na fikra zako ndani ya ubongo ndio zinafanya uwe vile unavyotaka kuwa
Ni hayo tu!