Jinsi ya kuwa mwanateknoljia bora

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
1. Jifunze jambo au habari mpya kila siku.
Kwa kutumia gooogle na mitandao mbali mbali mbali ni rahisi kujifunza mambo mapya ya kitenolojia. Changamoto ni chanzo ni chanzo na habari gani hasa zina mafunzo. Kutokana na uelewa , fani tofauti watu tuna prority tofauti
Mfano zaidi ya jf tovuti nyingine ambazo natumia kujfunza na kupata tech news ya issue mbali mbali ni DailyTech http://www.howstuffworks.com to name a few .

Cha msingi watu tuelewe internet ina kila aina ya habari nzuri na ina kila aina ya habari za ajabu. Mfano nimeona hapa kuna baadhi ya member wanapost article za kuhusu virus amabazo sio za kweli.(Hoax) Ujumbe unaasema eti virus ataburn the whole HDD. Hivi kuna virus anaweza kuunguza HDD.??????. So tusiamini na kucukua kizima kizima kila tunachoona kwenye net. Some time tuchunguze na tujirizishe.

2. Fanyia kazi na jaribu mambo kwa vitendo
Binafsi naona watanzania wengi tuna utaalam wa theory. Ikija kwenye nadharia na vitendo tunakwama na ukutana na vikwazo vingi. Hii inatokana na watu kuridhika nadhiria kitu amabcho si kizuri sana. Kifupi hatupendi kupigika. Nimewahi kufanya kazi na mtu ambaye alikuw hapendi kuonekana kashika cripping tool. Alichukia kweli kuitwa fundi au techinician Teh the teh. Yeye alitaka aitwe Network admin au engineer. Mwisho wa siku tunakuwa na vyeti safi lakini hatuna good practical experince

3. Jiulize na uliza maswali magumu
Kuna wataalamu hawapendi au wanaona aibu kuonekana wanauliza maswali .Binafsi naamin tutakuwa watalmu bora kama tutakubali kuwa una wakati tunaweza kuwa "wanafunzi" na kuna wakati tunaweza kuwa "walimu". Pausing kama mwalimu tuuuu au kama mwanafunziii tuuuuuuu siku zote haiwezi kumjenga mwanateknolojia. Na hata wanasiasa..

Mfano una watu nimeona wanajiuliza maswali ya kuchakachua TV decoder ili wapte channel za bure. Lakini sio wengi wa watu hawa wamejiuliza swali gumu kwanza la HowStuffWorks "Satellite TV System".. Mtu aisoma articles mbali mbali kuhusu hili anaweza kujua urahisi na ugumu wa kuchakachua channel na atauwa kajifunza.

Mtu akikuuliza kama mtaalam unajirate vipi utaalam wako wa iwe ni ICT, umeme programming, etc .? Wewe ni Advanced, Avarage or just end user. Binafsi i treat myself an avarage but competent ICT techician.


4. Penda majadiliano endelevu
kuna baadhi ya watuu hapa kwenye teknoloja na hata huko kwenye siasa na majukwaa mengine hawapendi kutoafautiana kwa mawazo, approach na ideas.. Ukimkosoa kitu anakuona adui au anakuwa mkali Vile vile kuna wale wengine kwa kuwa wajua sana akiona mtu anafanya au kaandika kitu fulani anamponda. Tena mbaya zaidi kwa lugha ya dhiaki.

Tunachotakiwa kufanya ni simple kwanza tukubali kutaofautina na pili tukubali na tukaribishe majadiliano endelevu kwa lugha nzuri..

Mfano kuna jamaa ana screen name ya shy. Mara nyingi nimesoma makala zake nzuri tu lakini tatizo la huyu mtaalam haendelezi mijadala ya makala alizoanzisha. . So kama akisoma maka hii abadilike.


5. Wezesha end user kutatua matatizo yao wenyewe

Kuna watalaam wanapenda kuendelea kutatua matatizo madogomadogo badala ya uwaambia wahusika nini cha kufanya wenyewe. huu unaweza kuwa ni uchoyo na vile vile kuna watu hawapendi kufuata proceure kusoma manual ya vifaa vyao huu nao ni Uvivu mbaya. So upande wa wataalam ni vizuri kuwawezesha watu kutatua matatizo madogo madogo ili wasisumbe tena na upande wa watuamiji wa kawiada uipta tatizo soma manual yakifaa au tafuta manua ya kifaa mtandaoni.

Je kuna jambo nimeliacha, nimekosea au sijaligusia?

Tuendeleeee
 
Safi sana mtoa mada, umegusa matatizo mengi ya hawa wanaojiita wataalam wetu. Hapo kwenye no. 5 ndo umepiga msumari, mimi ni end user lakini ninayependa kujishughulisha na matatizo yangu mwenyewe. Kuliko kukimbilia wanafunzi wa Comp. Sc ambao ni weupe, vitu vingi wamekariri na kuna tymes mimi ngwini huwasaidia kurekebisha matatizo yao ya software. Big up mkaka/mdada!
 
Safi sana mtoa mada, umegusa matatizo mengi ya hawa wanaojiita wataalam wetu. Hapo kwenye no. 5 ndo umepiga msumari, mimi ni end user lakini ninayependa kujishughulisha na matatizo yangu mwenyewe. Kuliko kukimbilia wanafunzi wa Comp. Sc ambao ni weupe, vitu vingi wamekariri na kuna tymes mimi ngwini huwasaidia kurekebisha matatizo yao ya software. Big up mkaka/mdada!

Mi mkaka nadhani wewe ni mdada tena unaweza kuwa mmasai maana naona kwenye avator nyonyo ziko nje nje na umevaa kiasili :rofl:
 
1. Jifunze jambo au habari mpya kila siku.
Kwa kutumia gooogle na mitandao mbali mbali mbali ni rahisi kujifunza mambo mapya ya kitenolojia. Changamoto ni chanzo ni chanzo na habari gani hasa zina mafunzo. Kutokana na uelewa , fani tofauti watu tuna prority tofauti
Mfano zaidi ya jf tovuti nyingine ambazo natumia kujfunza na kupata tech news ya issue mbali mbali ni DailyTech http://www.howstuffworks.com to name a few .

Cha msingi watu tuelewe internet ina kila aina ya habari nzuri na ina kila aina ya habari za ajabu. Mfano nimeona hapa kuna baadhi ya member wanapost article za kuhusu virus amabazo sio za kweli.(Hoax) Ujumbe unaasema eti virus ataburn the whole HDD. Hivi kuna virus anaweza kuunguza HDD.??????. So tusiamini na kucukua kizima kizima kila tunachoona kwenye net. Some time tuchunguze na tujirizishe.

2. Fanyia kazi na jaribu mambo kwa vitendo
Binafsi naona watanzania wengi tuna utaalam wa theory. Ikija kwenye nadharia na vitendo tunakwama na ukutana na vikwazo vingi. Hii inatokana na watu kuridhika nadhiria kitu amabcho si kizuri sana. Kifupi hatupendi kupigika. Nimewahi kufanya kazi na mtu ambaye alikuw hapendi kuonekana kashika cripping tool. Alichukia kweli kuitwa fundi au techinician Teh the teh. Yeye alitaka aitwe Network admin au engineer. Mwisho wa siku tunakuwa na vyeti safi lakini hatuna good practical experince

3. Jiulize na uliza maswali magumu
Kuna wataalamu hawapendi au wanaona aibu kuonekana wanauliza maswali .Binafsi naamin tutakuwa watalmu bora kama tutakubali kuwa una wakati tunaweza kuwa “wanafunzi” na kuna wakati tunaweza kuwa “walimu”. Pausing kama mwalimu tuuuu au kama mwanafunziii tuuuuuuu siku zote haiwezi kumjenga mwanateknolojia. Na hata wanasiasa..

Mfano una watu nimeona wanajiuliza maswali ya kuchakachua TV decoder ili wapte channel za bure. Lakini sio wengi wa watu hawa wamejiuliza swali gumu kwanza la HowStuffWorks "Satellite TV System".. Mtu aisoma articles mbali mbali kuhusu hili anaweza kujua urahisi na ugumu wa kuchakachua channel na atauwa kajifunza.

Mtu akikuuliza kama mtaalam unajirate vipi utaalam wako wa iwe ni ICT, umeme programming, etc .? Wewe ni Advanced, Avarage or just end user. Binafsi i treat myself an avarage but competent ICT techician.


4. Penda majadiliano endelevu
kuna baadhi ya watuu hapa kwenye teknoloja na hata huko kwenye siasa na majukwaa mengine hawapendi kutoafautiana kwa mawazo, approach na ideas.. Ukimkosoa kitu anakuona adui au anakuwa mkali Vile vile kuna wale wengine kwa kuwa wajua sana akiona mtu anafanya au kaandika kitu fulani anamponda. Tena mbaya zaidi kwa lugha ya dhiaki.

Tunachotakiwa kufanya ni simple kwanza tukubali kutaofautina na pili tukubali na tukaribishe majadiliano endelevu kwa lugha nzuri..

Mfano kuna jamaa ana screen name ya shy. Mara nyingi nimesoma makala zake nzuri tu lakini tatizo la huyu mtaalam haendelezi mijadala ya makala alizoanzisha. . So kama akisoma maka hii abadilike.


5. Wezesha end user kutatua matatizo yao wenyewe

Kuna watalaam wanapenda kuendelea kutatua matatizo madogomadogo badala ya uwaambia wahusika nini cha kufanya wenyewe. huu unaweza kuwa ni uchoyo na vile vile kuna watu hawapendi kufuata proceure kusoma manual ya vifaa vyao huu nao ni Uvivu mbaya. So upande wa wataalam ni vizuri kuwawezesha watu kutatua matatizo madogo madogo ili wasisumbe tena na upande wa watuamiji wa kawiada uipta tatizo soma manual yakifaa au tafuta manua ya kifaa mtandaoni.

Je kuna jambo nimeliacha, nimekosea au sijaligusia?

Tuendeleeee

Binafsi nimefurahishwa sana na thread yako,me mwenyewe ni mwanatknolojia,nashukuru sana kwa upeo wako wa kuona mbali,tuko pamoja mkuu.
 
huyu jamaa kboko...post zake zinaeleweka na argument zake ni za maana,big up.
 
Ya kuongezea:
  • Angalia vitu vidogo vidogo vinavyowasumbua watu kisha tafuta njia rahisi ya kuvitatua. Kwa mfano, wanawake (wengi ni hawa) wanapata taabu sana kuinamisha mgongo wakati wa kupiga deki; je, wewe ungewasaidiaje?
  • Chunguza teknolojia zilizopo, na uziboreshe (yaani, jaribu kuondoa mapungufu yake). Zingatia usemi huu: "Don't re-invent the wheel, but try to make it better".
 
1. Jifunze jambo au habari mpya kila siku.
Kwa kutumia gooogle na mitandao mbali mbali mbali ni rahisi kujifunza mambo mapya ya kitenolojia. Changamoto ni chanzo ni chanzo na habari gani hasa zina mafunzo. Kutokana na uelewa , fani tofauti watu tuna prority tofauti
Mfano zaidi ya jf tovuti nyingine ambazo natumia kujfunza na kupata tech news ya issue mbali mbali ni DailyTech http://www.howstuffworks.com to name a few .

Cha msingi watu tuelewe internet ina kila aina ya habari nzuri na ina kila aina ya habari za ajabu. Mfano nimeona hapa kuna baadhi ya member wanapost article za kuhusu virus amabazo sio za kweli.(Hoax) Ujumbe unaasema eti virus ataburn the whole HDD. Hivi kuna virus anaweza kuunguza HDD.??????. So tusiamini na kucukua kizima kizima kila tunachoona kwenye net. Some time tuchunguze na tujirizishe.

2. Fanyia kazi na jaribu mambo kwa vitendo
Binafsi naona watanzania wengi tuna utaalam wa theory. Ikija kwenye nadharia na vitendo tunakwama na ukutana na vikwazo vingi. Hii inatokana na watu kuridhika nadhiria kitu amabcho si kizuri sana. Kifupi hatupendi kupigika. Nimewahi kufanya kazi na mtu ambaye alikuw hapendi kuonekana kashika cripping tool. Alichukia kweli kuitwa fundi au techinician Teh the teh. Yeye alitaka aitwe Network admin au engineer. Mwisho wa siku tunakuwa na vyeti safi lakini hatuna good practical experince

3. Jiulize na uliza maswali magumu
Kuna wataalamu hawapendi au wanaona aibu kuonekana wanauliza maswali .Binafsi naamin tutakuwa watalmu bora kama tutakubali kuwa una wakati tunaweza kuwa "wanafunzi" na kuna wakati tunaweza kuwa "walimu". Pausing kama mwalimu tuuuu au kama mwanafunziii tuuuuuuu siku zote haiwezi kumjenga mwanateknolojia. Na hata wanasiasa..

Mfano una watu nimeona wanajiuliza maswali ya kuchakachua TV decoder ili wapte channel za bure. Lakini sio wengi wa watu hawa wamejiuliza swali gumu kwanza la HowStuffWorks "Satellite TV System".. Mtu aisoma articles mbali mbali kuhusu hili anaweza kujua urahisi na ugumu wa kuchakachua channel na atauwa kajifunza.

Mtu akikuuliza kama mtaalam unajirate vipi utaalam wako wa iwe ni ICT, umeme programming, etc .? Wewe ni Advanced, Avarage or just end user. Binafsi i treat myself an avarage but competent ICT techician.


4. Penda majadiliano endelevu
kuna baadhi ya watuu hapa kwenye teknoloja na hata huko kwenye siasa na majukwaa mengine hawapendi kutoafautiana kwa mawazo, approach na ideas.. Ukimkosoa kitu anakuona adui au anakuwa mkali Vile vile kuna wale wengine kwa kuwa wajua sana akiona mtu anafanya au kaandika kitu fulani anamponda. Tena mbaya zaidi kwa lugha ya dhiaki.

Tunachotakiwa kufanya ni simple kwanza tukubali kutaofautina na pili tukubali na tukaribishe majadiliano endelevu kwa lugha nzuri..

Mfano kuna jamaa ana screen name ya shy. Mara nyingi nimesoma makala zake nzuri tu lakini tatizo la huyu mtaalam haendelezi mijadala ya makala alizoanzisha. . So kama akisoma maka hii abadilike.


5. Wezesha end user kutatua matatizo yao wenyewe

Kuna watalaam wanapenda kuendelea kutatua matatizo madogomadogo badala ya uwaambia wahusika nini cha kufanya wenyewe. huu unaweza kuwa ni uchoyo na vile vile kuna watu hawapendi kufuata proceure kusoma manual ya vifaa vyao huu nao ni Uvivu mbaya. So upande wa wataalam ni vizuri kuwawezesha watu kutatua matatizo madogo madogo ili wasisumbe tena na upande wa watuamiji wa kawiada uipta tatizo soma manual yakifaa au tafuta manua ya kifaa mtandaoni.

Je kuna jambo nimeliacha, nimekosea au sijaligusia?

Tuendeleeee

.....Mtazamaji uko sahihi kabisa.......
 
na wakati mwingine ukiwa unauliza kitu au unafanya kitu jikubali mwenyewe ndo baadae ushirikishe wengine..
 
Back
Top Bottom