Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Ningeshangaa kutokukuona hapa. Mr. Fashionista
Upo na genge lako?!
Njooni mnywe bia nipo TIPS pembeni ya kaunta
Ningeshangaa kutokukuona hapa. Mr. Fashionista



genge sina nipo nyumbani nalea. Huko tips ngoja ni google location maana sipajui then nimtumie yuleeeeeeeegenge sina nipo nyumbani nalea. Huko tips ngoja ni google location maana sipajui then nimtumie yuleeeeeeee
Genge lako lazima likuje lishaona location mzee wa kuulambaNimekubali unajua kuingia ktk magenge
Genge lako lazima likuje lishaona location mzee wa kuulamba
MmmhChaguo lako ila picchu ni MARUFUKU.
Ndio wameniambia hivyo.Ndio mlivyoongea hivyo
Hilo la marufuku kulikoniMbona waguna Mrs Van? Ni aje kwani?![]()
Hilo la marufuku kulikoni
Ndio wameniambia hivyo.
Ebu clarify maana nimetoka kapa hapokujirusha huwa kuna mengi huwezi jua fursa za kwenye maeneo ya kujirusha.


Ebu clarify maana nimetoka kapa hapo![]()
hayo mavazi baba hapn..hutoki na mimi ukivaa hivyo😒😒napendelea misuli na mashuka ya kimasai hope hutaniangusha
😂😂😂😂😂 nakusubiri
asante future husbnd😒asante sana my future wife nami nitamshukuru MuNGU kwa kukuleta kwa ajili yangu
Sawa BAK japo sijaelewa wacha ni relax na umbrella tuIt’s Friday my dear relax and have fun. Remember that BAK will ALWAYS be BAK.
