jinsi ya kuuza mazao kariakoo

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
11,131
Reaction score
14,636
asalm alekhum waungwana ! mimi ni mkulima wa tangawizi kigoma ,nilikuwa naomba msaada wa mchakato wa kuuza tangawizi zangu kama 20 tons hivi ,kiusalama maana naogopa kutapeliwa na wahuni ,pia kama unaijua bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…