Jinsi ya kutumia smartphone kama Modem

Jinsi ya kutumia smartphone kama Modem

natumia computer aina ya fujitsu siemens ila hizo app sijajua jinsi ya kuzigundua. Nakwenye os natumia w7 serv pack 2

Namna ya ku-enable wireless card katika kompyuta yako, fuatisha mlolongo huu:

1. Click on Start
2. Click on Control Panel
3. Click on Network and Internet
4. Click on Network and Sharing Center
5. Choose Change adapter settings on the Task pane
6. Right-click on Wireless Network Connection
7. Select Enable

Baada ya ku-enable endelea kwa kuwasha wireless card, sasa hii inategemea na kompyuta unayotumia.

Kwa kompyuta nyingine huwa zina kitu kama switch cha ON and OFF na nyinginezo huwa unatumia combination ya keys...

Kawaida huwa kuna kijialaa chenye mchoro kama huu hapa chini:

wireless-icon-1005064054.png
 
Namna ya ku-enable wireless card katika kompyuta yako, fuatisha mlolongo huu:

1. Click on Start
2. Click on Control Panel
3. Click on Network and Internet
4. Click on Network and Sharing Center
5. Choose Change adapter settings on the Task pane
6. Right-click on Wireless Network Connection
7. Select Enable

Baada ya ku-enable endelea kwa kuwasha wireless card, sasa hii inategemea na kompyuta unayotumia.

Kwa kompyuta nyingine huwa zina kitu kama switch cha ON and OFF na nyinginezo huwa unatumia combination ya keys...

Kawaida huwa kuna kijialaa chenye mchoro kama huu hapa chini:

wireless-icon-1005064054.png
[/QUOTE Wadau habari zenu. Ebana mi nashida kwenye simu
yangu kwenye maswala ya wireless. Nataka nikonect
pc yangu niwe Natumia cm yangu kupata internet
connection kwenye pc kwa kutumia wireless ya simu
yangu. Ila Kila nikijaribu ku-turn on wireless kwenye
simu napata ujumbe huu "There is a temporary
network problem that prevents the enablement of the
Mobile Hotspot function. Please retry later" ni wapi
nakosea wakuu? natumia HTC One Vx ya 4G
 
Namna ya ku-enable wireless card katika kompyuta yako, fuatisha mlolongo huu:

1. Click on Start
2. Click on Control Panel
3. Click on Network and Internet
4. Click on Network and Sharing Center
5. Choose Change adapter settings on the Task pane
6. Right-click on Wireless Network Connection
7. Select Enable

Baada ya ku-enable endelea kwa kuwasha wireless card, sasa hii inategemea na kompyuta unayotumia.

Kwa kompyuta nyingine huwa zina kitu kama switch cha ON and OFF na nyinginezo huwa unatumia combination ya keys...

Kawaida huwa kuna kijialaa chenye mchoro kama huu hapa chini:

wireless-icon-1005064054.png

nashukuru mkuu watu8 kwa maelezo ya ufasaha na kina nikimaliza kuifanyia kazi nitakujulisha
 
Back
Top Bottom