Jinsi ya kutumia internet bure bila kuwa na bundle

Jinsi ya kutumia internet bure bila kuwa na bundle

Duh bundle ya bure hakunaga usidanganywe
Iyo nimeikuta humu jamii na kuna sehemu nimemkuta mtu anatumia hii kwa naomba mwenye kujua na mm anifundishe namna ya kuunganisha
Screenshot_20230207-222923.jpg
Screenshot_20230207-222837.jpg
 
Aisee namimi naitaka hii kitu, kwa taarifa za awali naskia inatumika "HA TUNEL!"

Sasa namna ya kuiset nakupata hiyo huduma ndo changamoto aisee, wadau hebu tusaidiane jamani sie wote watanzania, tudumishe undugu.
Tumeitumia ila Kuna machawa Hadi kwenye mitandao walienda toa taarifa ngoma ikazimwa mwiii
 
AIRTEL
Ha Tunnel
Spark vpn
HTTP CUSTOM
KOBRA DNS
SSH INJECTOR
OPEN TUNNEL

lazima uwe na hat file
Ila MB 300 DAILY FREE

KWA TIGO NA TTCL
WIRE TUNE


KWA HALOTEL
PSIPHON
Watazipiga PIN bongo nyoso hawapendi watu waishi kwa mseleleko ungemtumia PM
 
AIRTEL
Ha Tunnel
Spark vpn
HTTP CUSTOM
KOBRA DNS
SSH INJECTOR
OPEN TUNNEL

lazima uwe na hat file
Ila MB 300 DAILY FREE

KWA TIGO NA TTCL
WIRE TUNE


KWA HALOTEL
PSIPHON
nyie ndi hua mnafanya zinafungwa, cha asubui wamepita nacho ila hamkomi.
 
Habari za muda huu wana jamii naomba kwa anae fahamu namna ya kutumia internet bure bila kutumia bundle anipatie na mimi ni seleleke kama wenzangu natumia airtel....
Kama ulitumiwa PM nicheki na mm mkuu.
 
Back
Top Bottom