wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
.........
ulitaka iwe useful post kwan wap ushawah ona internet ya bure eti kisa ni android nyie ndo mlisababsha mabasi ye2 yakapata pancha kabla ha2jafka kimbiji
.........
- hII kitu imekuwa introduced this week. Bado wiki kwisha, Baada ya matumizi tutajua vyema.
andika sms hii "mwaitakotako mwaipumbuje" tuma kwenda 15550 watakupa internet ya bure kwa miez 6 mkuu
Jameni mwenye uzoefu wowote wa it anipe maelezo
ulitaka iwe useful post kwan wap ushawah ona internet ya bure eti kisa ni android nyie ndo mlisababsha mabasi ye2 yakapata pancha kabla ha2jafka kimbiji
Kwanini unapenda vya bure kijana. Hakuna kitu kama hicho.Jameni mwenye uzoefu wowote wa it anipe maelezo
wadau mambo?. Tech & Gadgets kuko active kweli.au ni mtindo ule ule wa mswali ya kuhitaji msaada.?.
Unatumia Line gani kwenye simu?
Je simu umei-root?
Kuna Injection Tool soon inakuja kwa sasa ipo katika Windows nafikiriano kwa sasa hamna na MAC OS bado kidogo tu
Hii inapenetrate firewall ya mtandao wowote mfano kwa sasa Hamna HACK/CHEAT yoyote kwa hawa Airtel lakini hiki ki-tool kinawatobomoa japo eneo langu naona haliko vizuri max speed ni 300KBps...
Nipe majibu ya hayo maswali kwanza
Nashangaa kwangu kila nikijaribu kujiunga inaniambia this service is not available for you
- Hii kitu hamnakitu kabisa, Nitapost Tutorial yake Soon
Damn sheet--> shit(edited by snipa)