Poleni na majukumu wana Jf, kwa wale wataalam waliobobea kwenye IT, je kuna jinsi ya kutumia internet free pasipo malipo tena Unlimited! jibu kama ni ndiyo nini kinafanyika na inawezekanaje? lengo c kama nataka kufanya bali kwa faida yangu na watu wengine ni kutaka kujua kama hii kitu ipo kweli.