Jinsi ya kutumia HTC kuPlay kwenye Flat

Jinsi ya kutumia HTC kuPlay kwenye Flat

Blog

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
320
Reaction score
129
Habari zenu Wakuu poleni na majukumu ya kutuelimisha ambao tupo nyuma kwenye hizi Mambo.
Kifupi ni kuwa kuna movie nilichukua kupitia hii Simu ya HTC One kwenye Laptop ya jamaa yangu sasa nataka kuangalia hizi movie kwenye TV aina ya Flat kama USB, lakini imekataa inakuja hii kitu hapa chini
Nachouliza pia hdmi gani hutumika kuShare picha na Video uswipe kwenye Screen yako.
 

Attachments

  • 1444737585730.jpg
    1444737585730.jpg
    50.2 KB · Views: 304
simu zote mpya nzuri siku hizi zinakuja na technology ya wireless display kama simu yako inavyoonyesha kwenye screenshot, ili uweze kuitumia simu yako kuplay hio movie kwenye tv au kitu chengine chochote kama game inahitajika tv yako iwe na same technology (yaani wireless display). cha muhimu hapo chukua remote ya tv tafuta kitu kilichandikwa neno lolote kati ya haya hapa chini
-wireless display
-airplay
-miracast
-wireless sharing
-DNLA
na vitu vifananiavyo, ukipata eka on simu itaitambua tv then utaweza kuconect, namna yqa kuconect ni kama vile bluetooth tu. kama tv haina itabidi utafute adapter ili uiwezeshe iweze fanya hivyo na mara nyingi zinakuwa ni adapter za hdmi.
 
Shukrani sana mkuu Chief-Mkwawa we ni mmoja mtu mwenye msaada sana kwenye Jukwaa hili Mungu akubariki.
Any way, kama nikinunua hiyo Adapter ya hdmi kuna sababu ya kuConnect Wireless au ni Adapter peke ake inatosha. Maana TV yangu ni Samsung Flat nimeangalia haina Wireless wala Bluetooth mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Shukrani sana mkuu Chief-Mkwawa we ni mmoja mtu mwenye msaada sana kwenye Jukwaa hili Mungu akubariki.
Any way, kama nikinunua hiyo Adapter ya hdmi kuna sababu ya kuConnect Wireless au ni Adapter peke ake inatosha. Maana TV yangu ni Samsung Flat nimeangalia haina Wireless wala Bluetooth mkuu.

zipo adapter za aina mbili
-za waya kwenda waya, yaani itaconvert toka hdmi hadi usb waya utoke kwenye simu hadi tv
-za waya kwenda wireless, hii itatoa toka hdmi kwenda wireless display utaweza connect simu na tv bila kutumia waya
 
Last edited by a moderator:
Shukrani mkuu ngoja Kesho nikaangalie Mjini nitakupa MREJESHO
 
zipo adapter za aina mbili
-za waya kwenda waya, yaani itaconvert toka hdmi hadi usb waya utoke kwenye simu hadi tv
-za waya kwenda wireless, hii itatoa toka hdmi kwenda wireless display utaweza connect simu na tv bila kutumia waya

Mkuu unaweza fafanua kidogo hapo kwenye point yako ya pili.
Ahsante.
 
Mkuu unaweza fafanua kidogo hapo kwenye point yako ya pili.
Ahsante.

airplay-receiver-miracast-dongle_rk151.jpg


kinakuwa ni kitu kama hiki, mfano wa modem kinaingia kwenye hdmi port ya tv halafu kinaipa tv yako uwezo wa miracast (simu za android na windows phone), DNLA (kwenye iphone) nk. ili uweze kuona kwenye tv content za simu yako
 
airplay-receiver-miracast-dongle_rk151.jpg


kinakuwa ni kitu kama hiki, mfano wa modem kinaingia kwenye hdmi port ya tv halafu kinaipa tv yako uwezo wa miracast (simu za android na windows phone), DNLA (kwenye iphone) nk. ili uweze kuona kwenye tv content za simu yako

Nimekupata mkuu, ubarikiwe.
 
its simple confirm kama HTC yako ina support one of these cables (GSM arena)
ANT+ support (inaingia hapo kwa charger)
MHL tv out (inaingia hapo kwa earphones)
 
airplay-receiver-miracast-dongle_rk151.jpg


kinakuwa ni kitu kama hiki, mfano wa modem kinaingia kwenye hdmi port ya tv halafu kinaipa tv yako uwezo wa miracast (simu za android na windows phone), DNLA (kwenye iphone) nk. ili uweze kuona kwenye tv content za simu yako
Chief-Mkwawa hicho kifaa dukani shilingi ngapi .hapo dar kinapatikana maduka gani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom