Jinsi ya kutuma msg Automatic

Wataalam! Naomba kuuliza wale ambao walishawahi kupiga written interviews za kazi ya "Afisa Utamaduni II" na "Mwandishi wa taarifa rasmi za Bunge II"

Je, maswali yao yanafocus zaidi wapi na wanatumia lugha gani?

Natanguliza shukrani.
Mkuu nenda jukwaa la ajira na tenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…