Wakati unaanza usiende kwenye super market, anza na wauzaji wadogo wadogo wa mitaani ... business ikikubali ndo uanze utaratibu wa kusajiriwa.Nimependa sana somo asante,hata Mimi neno rangi limenisumbua ila nashukuru nimeelewa.
Hapa utusaidie au kama Kuna MTU anafahamu taratibu na gharama TFDA,TBS,TRA niliwahi pata changamoto kwenye bidhaa za vyakula usindikaji nafaka/unga nilipokua natafuta Soko kwenye supermarket niliambiwa niwe na TIN,TFDA,TBS approval ,ukweli kwa wajasiriamali wadogo ni changamoto,sijui hii mkuu imekaaje .
Nashukuruni kwakuelewa somo langu vyemaNimependa sana somo asante,hata Mimi neno rangi limenisumbua ila nashukuru nimeelewa.
Hapa utusaidie au kama Kuna MTU anafahamu taratibu na gharama TFDA,TBS,TRA niliwahi pata changamoto kwenye bidhaa za vyakula usindikaji nafaka/unga nilipokua natafuta Soko kwenye supermarket niliambiwa niwe na TIN,TFDA,TBS approval ,ukweli kwa wajasiriamali wadogo ni changamoto,sijui hii mkuu imekaaje .
Ni kweli kabisa, wajasiriamali wengi wanakimbilia kupeleka bidhaa zao masupermarket huku wakiacha maduka madogo mitaani ambako ndiko kwenye walaji wengi...Wakati unaanza usiende kwenye super market, anza na wauzaji wadogo wadogo wa mitaani ... business ikikubali ndo uanze utaratibu wa kusajiriwa.
Andaa mapema ndugu tuanze sindika kabla hayajapukutika...Niwapi uko nadhani ntaandaa somo soon
Mkuu unatakiwa ufanyeMbn naona Mbegu za nyanya zipo?hazina shida kwa wateja kugoma kununua?
Asante MkuuWakati unaanza usiende kwenye super market, anza na wauzaji wadogo wadogo wa mitaani ... business ikikubali ndo uanze utaratibu wa kusajiriwa.
Asante mkuuNashukuruni kwakuelewa somo langu vyema
Naimani mungu atabariki kazi zamikono yangu nayenu
Kwaku share aidia nanyi masikini wenzangu tuweze kujikwamua nasisi
Naomba niwaelekeze jambo kwakua ninyi mnaanza haina haja ya kuanza na huko supermarket kwanza pata wakatisha tamaa mapema
Ushauri mnaweza kwenda katika vibanda vya chips vilivyopo karibu nanyi nakuweka oder ya kuwapelekea mzigo wenu
Iliuwateke kirahisi
Kwanza fanya uchunguzi ujue wananunua bei gani
Litatano ya dumu latomato
Ikiwa labda wananunua 6000
Basi ww punguza 500 hapo
Itasaida kuwashawishi nakuweza kupata order nyingi zaidi
Biashara itakapo changanya sawa waweza fata taratiby bidhaa yako ikajulikana kisheria
Njia ipi naweza kutengeneza tomatoes paste?Yafuatayo Ndiyo mahitaji ya kutengeneza nyanya chanzo.
1. Nyanya kilo 1.
2. Vitunguu maji viwili.
3. Vinegar vijiko 3 vya chai.
4. Sukari vijiko 2 vya chai.
5. Chumvi kijiko Kimoja cha chai
6. Maji ya moto Kikombe Kimoja cha chai.
7. Mafuta ya Kula vijiko 7 ya vyakula.
Haya Ndiyo mahitaji ya kutaka kutengeneza nyanya souce, Hata hivyo Kama Unataka kutengeneza Zaidi Ya Hapo unatakiwa kuongeza uwiano wa mahitaji Hayo.
JINSI YA KUTENGENEZA nyanya SOURCE.
HATUA YA KWANZA.
a) Menya Nyanya Rangi vitunguu kisha vikate vipande vidogo vidogo.
b) Tumia Brenda Kusaga mchanganyiko Wako.
c) Anza kuweka malighafi namba 1 Hadi namba 4 katika brenda Yako kutokana Rangi uwiano (uwiano) uliopewa Hapo Juu. Saga to dakika Kadhaa Hadi Uone imetokea rojo Laini.
HATUA YA PILI.
a) Tumia sufuria yenye Nafasi kupika Mseto Huu.
b) Weka sufuria Yako jikoni tia mafuta ya Kula acha yachemke kisha mwagia Mseto Wako Rangi kisha uanze kukoroga to dakika 30 kuelekea Upande Mmoja huku ukichemka.
c) Baada ya Hapo epua Mseto Huo utakuwa Tayari imeshakuwa nyanya funga Vizuri Rangi kisha Peleka Sokoni.
Mpaka kufikia Hapo Wewe Tajiri, Rangi mafanikio makubwa ambayo yatakuwa Upande Wako endapo utakuwa umeamua kuondokana Rangi umaskini to Ushauri wa Njia ya kutengeneza Vitu mbalimbali Kwa Ajili ya kuuza.
Kama mtakuwa tayari kupata ujuzi mbali mbali Ninamna gani waweza kujitajirisha kwa
Kutengeneza bidhaa mbali mbali nitasoma comment zenu nanitakuwa nikitoa darasa huru asante.