Jinsi ya kutengeneza paypal acount

Jinsi ya kutengeneza paypal acount

mkalenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
290
Reaction score
23
Wakuu naomba msaada jinsi ya kutengeneza hiyo acount na jinsi inavyo fanya kazi. Natanguliza shukran
 
Wakuu naomba msaada jinsi ya kutengeneza hiyo acount na jinsi inavyo fanya kazi. Natanguliza shukran

I do not advise you this Thing its Risky
Watu wamefundishwa hapa kutumia PayPal wawili wamenipigia simu week iliyopita kuna Transaction ziko kwenye account zao hawazielewi
Waachie wanaoviweza usije fikiri anybody can own PayPal account
Kasome BBC scammers waliokamatwa wakifanya Utapeli PayPal na eBay waki-POST maatangazo ya kuuza magari bila kuonwa na uongozi wa Ebay wengi wamelizwa hapo...So maneno yngu ni BBC new
 
Please dont try this at home! Kuna new version of untracked scams! Mi mwenyewe hapa nimekoswa koswa na scammers , mama mmoja na ki russia akishirikiana na wa Nigeria.
 
Kila mtu akijua hii ndo source ya PayPal kuiblock TZ
case za kuibiwa zitaongezeka hadi tutakosa hii kitu
Above all kuna huduma zitaisha kutolewa mfano sitolipia tena uhuruhosting kwa 10,000/- wwakati kuna just host it kwa 2.5$ kwa mwezi ambayo ntailipia kwa PayPal
Asante kwa msaada wako lkn hope umenielewa point yangu

kaka kila manunuzi lazma uverify kwenye paypal manunuzi yoyote yatayofanyika bila idhini yako ni haki ya paypal kukulipa. sidhan kama kuna mtu kapata tatizo tz kwa kuibiwa
 
kaka kila manunuzi lazma uverify kwenye paypal manunuzi yoyote yatayofanyika bila idhini yako ni haki ya paypal kukulipa. sidhan kama kuna mtu kapata tatizo tz kwa kuibiwa

point yangu ni kuwa Bank kama NBC hauitaji kuja formu kupata hii service
Kwa maneno mengine nikiokota card au just kuona details za NBC au UBA cards etc basi nafyeka hela yote
Matokeo yake aliyeibiwa hela ataenda kushitaki hela imepotea wakitrace zimekatwa PayPal ...mteja hajawai kutumia hivo bannk itaingia wajibu wakufanya contacts na PayPal...na case zikiwa nyingi basi PayPal wataiona TZ haifai kupokea huduma hii

Above all hii haikuwa point kubwa yangu....Unafikiri Chief Mkwawa kila mtanzania kimiliki Paypal haitokuwa chaos as far as buz inahusika?
Mfano mtu juzi kanunua smartTV from eBay at 700$ wakati bongo zipo nyingi tuu
Ninachokimaanisha sio wote wawe na PayPal kuna biashara zitagota kabisa
 
point yangu ni kuwa Bank kama NBC hauitaji kuja formu kupata hii service
Kwa maneno mengine nikiokota card au just kuona details za NBC au UBA cards etc basi nafyeka hela yote
Matokeo yake aliyeibiwa hela ataenda kushitaki hela imepotea wakitrace zimekatwa PayPal ...mteja hajawai kutumia hivo bannk itaingia wajibu wakufanya contacts na PayPal...na case zikiwa nyingi basi PayPal wataiona TZ haifai kupokea huduma hii

Above all hii haikuwa point kubwa yangu....Unafikiri Chief Mkwawa kila mtanzania kimiliki Paypal haitokuwa chaos as far as buz inahusika?
Mfano mtu juzi kanunua smartTV from eBay at 700$ wakati bongo zipo nyingi tuu
Ninachokimaanisha sio wote wawe na PayPal kuna biashara zitagota kabisa

men that's a bit selfish of you, paypal or not your account protection is in your own hands.
 
point yangu ni kuwa Bank kama NBC hauitaji kuja formu kupata hii service
Kwa maneno mengine nikiokota card au just kuona details za NBC au UBA cards etc basi nafyeka hela yote
Matokeo yake aliyeibiwa hela ataenda kushitaki hela imepotea wakitrace zimekatwa PayPal ...mteja hajawai kutumia hivo bannk itaingia wajibu wakufanya contacts na PayPal...na case zikiwa nyingi basi PayPal wataiona TZ haifai kupokea huduma hii

Above all hii haikuwa point kubwa yangu....Unafikiri Chief Mkwawa kila mtanzania kimiliki Paypal haitokuwa chaos as far as buz inahusika?
Mfano mtu juzi kanunua smartTV from eBay at 700$ wakati bongo zipo nyingi tuu
Ninachokimaanisha sio wote wawe na PayPal kuna biashara zitagota kabisa

Nimekupata vizuri sana mkuu, itabidi NBC waige mtindo wa CRDB na pili kwanini unadhani itakuwa shida ikiwa kila mtu atakuwa na paypal account, business gani inahusika hapo?.
 
Wengi hawajui paypal inavyofanya kazi, si kwamba kwa vile umechukua card ya mtu hivyo unaweza kuifungulia account ya paypal. Kabla ya kuitumia paypal wanadeposit senti kadhaa kwenye account yako then unatakiwa uwaeleze ni kiasi gani wamedeposit(verification). Sasa kama ulikuwa umechukua card bila kuwa na access ya account husika huwezi itumia. Pili hili swala la kuibiwa ni kosa la mtumiaji, ebay wanakushauri transactions lazima uziprocess kupita ebay si nje kwenye website zingine.
 
Wengi hawajui paypal inavyofanya kazi, si kwamba kwa vile umechukua card ya mtu hivyo unaweza kuifungulia account ya paypal. Kabla ya kuitumia paypal wanadeposit senti kadhaa kwenye account yako then unatakiwa uwaeleze ni kiasi gani wamedeposit(verification). Sasa kama ulikuwa umechukua card bila kuwa na access ya account husika huwezi itumia. Pili hili swala la kuibiwa ni kosa la mtumiaji, ebay wanakushauri transactions lazima uziprocess kupita ebay si nje kwenye website zingine.

Nimetumia Unverified PayPal account kwa muda wa miezi mitano maana mm process ya verification nilikuwa siijui
siku moja nilibadilishana hela ya PayPaal to Perfect money jamaa akagundua akaunti yangu iko unverfied akaanza kuni mind kuwa kama Card itakuwa ya kuibiwa na yeye atakuja pata shida ndo kesho yake ni kaverify ili kumridhisha jamaa na aendelee kunibadilishia PP 2 PM.
In short ulichokisema sio sahihi mm nimesign up paypal kwa card hadi tatu sasa na huwa na zitumia bila kuwa verified kama ulikuwa haulijui lijue hilo

UNVERIFIED PAYPAL ACCOUNT INAFANYA KAZI KAWAIDA LKN INA LIMITATION ZA VIWANGO VYA HELA
 
Nimekupata vizuri sana mkuu, itabidi NBC waige mtindo wa CRDB na pili kwanini unadhani itakuwa shida ikiwa kila mtu atakuwa na paypal account, business gani inahusika hapo?.

Unafikiri watu wa maduka ya simu mfano watapata soko tena mmaana mfano mtu aliagiza S4 mini eBay at price less than 200,000/- ukilinganisha na bei ya bongo
sasa imagine kila mtu mwenye S4 akijua eBay kuna discount ya 200,000/- na shipping time via fedex iko included na mzigo unaupata within 4 days ...Unafikiri wauza S4 siwataingia hasara kwa simu walizo import

Najua wengi watasemma niko selfish lkn mtaka msitake Kila mtumiaji wa Internet akijua kutumia PayPal basi itakuwa CHAOS watu wataibiwa hela zao na disputes kwenye mabenk zitakuwa nyingi na at the end of the day PayPal itaiblock Tanzania
 
huyo aloibiwa alete bank statement tuone

watu wakulizwa wamelizwa wengi benk....mm mwenyewe niliblockiwa account yangu ya CRDB na wakaniandikia Criminal suspect case sababu nilikuwa sijui Password ya VISA VERIFIED(hope unakumbuka hiyo thread yangu)
Nilipoitwa CRDB nikaambiwa mm ni mmoja wa watu wanao waibia wateja wa CRDB online kutumia card zao na nikaoneshwa cases za watu ambao hela zilitolewa ktk account zao online bila ya wao kujua

Kama hauamini njoo Mlimani City kawaulize CRDB hiyo kitu ipo haipo watakupa majibu
 
men that's a bit selfish of you, paypal or not your account protection is in your own hands.

Utaniona selfish well and good ila niachokiongea naona mbele
Imagine kila mtumiaji wa Internet anajua kutumia PayPal ...hauoni hiyo itakuwa CHAOS tayari

Sio watu wote ni wema kuna bank ni wazembe mm CRDB master card yangu ilikuwa enabled bila formu kupitishwa je assume mtu aiyeelewa mambo ya PayPal na mtu akabahatika trace details za card akajaribu fungua PayPal na akafyeka hela yangu?
Hii inawork kwa bank nyingi e,g NBC,Banc ABC etc yaani ziko enabled kufanya Transactions online bila kufanya maombi
 
Wengi hawajui paypal inavyofanya kazi, si kwamba kwa vile umechukua card ya mtu hivyo unaweza kuifungulia account ya paypal. Kabla ya kuitumia paypal wanadeposit senti kadhaa kwenye account yako then unatakiwa uwaeleze ni kiasi gani wamedeposit(verification). Sasa kama ulikuwa umechukua card bila kuwa na access ya account husika huwezi itumia. Pili hili swala la kuibiwa ni kosa la mtumiaji, ebay wanakushauri transactions lazima uziprocess kupita ebay si nje kwenye website zingine.

Na sio lazima nikuibie hela kutumia PayPal kuna website zinakubali Credit card kama alibaba hivo mm nikipata details zako tu nimekumaliza kama hauamini tufanye jaribio

Sitoitaji hata kutumia PayPal bali website zinazotumia VISA/MAESTRO/Master card
 
Utaniona selfish well and good ila niachokiongea naona mbele
Imagine kila mtumiaji wa Internet anajua kutumia PayPal ...hauoni hiyo itakuwa CHAOS tayari

Sio watu wote ni wema kuna bank ni wazembe mm CRDB master card yangu ilikuwa enabled bila formu kupitishwa je assume mtu aiyeelewa mambo ya PayPal na mtu akabahatika trace details za card akajaribu fungua PayPal na akafyeka hela yangu?
Hii inawork kwa bank nyingi e,g NBC,Banc ABC etc yaani ziko enabled kufanya Transactions online bila kufanya maombi

So do you mean to tell me bila Paypal kama Kadi iko verified kushop online siwezi kununua. Absolutely not, why isn't the 'chaos' you keep repeating happening yet, nini kitafanya mtu akiingia paypal aibiwe ila now asiibiwe ilimradi kadi iko enabled, lemmi tell u something, paypal walii Block kadi yangu zamani ila it hasn't stopped me from buying things on line, I'm gonna say this again Protection of your account and money in general is in yo own hands, acha watu wafaidi safety offered by paypal man
 
Na sio lazima nikuibie hela kutumia PayPal kuna website zinakubali Credit card kama alibaba hivo mm nikipata details zako tu nimekumaliza kama hauamini tufanye jaribio

Sitoitaji hata kutumia PayPal bali website zinazotumia VISA/MAESTRO/Master card
Naona umeenda mbali, swala tunalo ongelea ni paypal siyo website zingine. Ungekuwa karibu ningekupa ujaribu siyo card zote zinaenda hivi hivi tuu, kadi zingine kabla ya kuprocess payment inakuomba address ya mhusika sijui utaitoa wapi? Mfano hapa nikipoteza kadi ya banki nipo reliable kwa $50.00 hata kama huyo aliyeipata katumia maelfu uliyokuwepo nayo, wanachofanya wanafuatilia madukani ulikokuwa ukitumia hiyo card. Na kadi zingine ukiwa nje ya eneo lako la kawaida ukatumia matumizi ambayo hayajazoeleka ina denied hiyo transaction mpaka upige simu au wenyewe wakupigia.
 
Naona umeenda mbali, swala tunalo ongelea ni paypal siyo website zingine. Ungekuwa karibu ningekupa ujaribu siyo card zote zinaenda hivi hivi tuu, kadi zingine kabla ya kuprocess payment inakuomba address ya mhusika sijui utaitoa wapi? Mfano hapa nikipoteza kadi ya banki nipo reliable kwa $50.00 hata kama huyo aliyeipata katumia maelfu uliyokuwepo nayo, wanachofanya wanafuatilia madukani ulikokuwa ukitumia hiyo card. Na kadi zingine ukiwa nje ya eneo lako la kawaida ukatumia matumizi ambayo hayajazoeleka ina denied hiyo transaction mpaka upige simu au wenyewe wakupigia.

Hii ilikuwa point of Addition mkuu... nahisi ya paypal nimekujibu kuwa naweza Tumia Unverified PayPal account na hiyo nimeifanya kwa mda mrefu maana mm sikuwa na knowledge ya ku-verify mpaka nilipofunguliwa macho

Pili sisi tuko Bongo natunaongelea kibongo zaidi Sina hakika kama upo bongo
Mm nafanya Online purchase bila kutumia PayPal kabisa nasiombwi kitu chochote zaidi ya names,card no,security code,na expiry date...Card moja tu imewai kuniomba VISA VERFIED PASSWORD na hii ni VISA ya CRDB na bahati nzuri ilifanyiwa registration ya VISA
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/524788-verfied-by-visa-password.html
 
So do you mean to tell me bila Paypal kama Kadi iko verified kushop online siwezi kununua. Absolutely not, why isn't the 'chaos' you keep repeating happening yet, nini kitafanya mtu akiingia paypal aibiwe ila now asiibiwe ilimradi kadi iko enabled, lemmi tell u something, paypal walii Block kadi yangu zamani ila it hasn't stopped me from buying things on line, I'm gonna say this again Protection of your account and money in general is in yo own hands, acha watu wafaidi safety offered by paypal man

PayPal is secure na kila hela ambayo inakatwa kwenye card yako via PayPal kama hauelewi hiyo Transaction hela yako inarudishwa lkn je PayPal kama wamepokea disputes e.g kama 10 zote kutoka Tanzania zinadai hela za watu zimeibiwa kutoka Bank kupitia PayPal ...Unafikiri decision yao itakuwa nn kama sio ku-block Tanzania isitumie paypal tena kama Nigeria.....Hii inabidi uzingatie kuwa si watanzania wote wanajua kuwa uki-expose details za CREDIT CARD e.g card no etc ni RISK...Watanzania wanajua kutunza NAMBA YA SIRI na hicho ndo wanachofundishwa na mabenk

Pili,
Ukitaka kuelewa kwa nn itatokea "chaos" in the near future kila mtu akijua kutumia Paypal itabidi tujiulize kwa nn kuna nchi zimezuiliwa kutumia PayPal kabisa na kuna nchi zimebaniwa kupokea Funds...Tujiulizee haya natuchukue mfano wa nchi kama "Nigeria" Tutapata jibu kuwa watanzania wakijua PayPal na online Purchases as I know it, WIZI wa hela za watu utaongezeka kwa asilimia kubwa mno.

Mfano wa wizi ambao nimewai detect
e.g Kuna mtu alini PM hapa JF akisema yeye anazo Card za deal hivo nimwambie nataka kununua kitu gani online afu atanilipia na kitamfikie yeye na mm ntalipa nusu ya bei yake e.g kama nataka simu ya 400$ basi yeye atatumia hizo Card zake na adress yake ikimfikia tutakutana atanipa hiyo simu mm ntampa 200$.
 
Back
Top Bottom