ChikoTz
Member
- Feb 26, 2019
- 37
- 33
Wakuu najua kuwa humu kuna watu ambao wanaujuzi wa ku create app kwenye android studio. Ila mimi ni bigginer ila napenda sana kutengeneza app
Teali nimesha download Android Studio na kuinstall components zake na naomba mwenye ujuzi atusaidie maana kuna wengi kama mimi
Ila mimi nahitaji kutengeneza app za namna hiyo kwenye picha
Teali nimesha download Android Studio na kuinstall components zake na naomba mwenye ujuzi atusaidie maana kuna wengi kama mimi
Ila mimi nahitaji kutengeneza app za namna hiyo kwenye picha