umri Wa mtu unaweza kukadiliwa kutokana na jinsi anavyo ongea au kuandika.
Hata kama uyo mtu humfahamu au hujawai kumuona.
Ajitokeze member mmoja Wa Mfano please.
umri Wa mtu unaweza kukadiliwa kutokana na jinsi anavyo ongea au kuandika.
Hata kama uyo mtu humfahamu au hujawai kumuona.
Ajitokeze member mmoja Wa Mfano please.
Wakuu habar zenu
Kuna ukweli wowote kuhusu ili,
umri Wa mtu unaweza kukadiliwa kutokana na jinsi anavyo ongea au kuandika.
Hata kama uyo mtu humfahamu au hujawai kumuona.
Ajitokeze member mmoja Wa Mfano please.
unashindwaje kupanga maoni ya wachangiaji humu JF
Kuna kijamaa kinaleta ushawishi wa migomo Chuoni utaacha kukadiria umri wake?
kuna mwingine jaingiza mtoto wa Kike ndani wazazi wake wamekuja ghafla anashindwa mtorosha bintiye,
kuna wanaochangia mambo ya kichawi na maruhani utasema ni watoto wa Vyuoni hao?
umri Wa mtu unaweza kukadiliwa kutokana na jinsi anavyo ongea au kuandika.
Hata kama uyo mtu humfahamu au hujawai kumuona.
Ajitokeze member mmoja Wa Mfano please.