mabasi ya abiria Dar Express, Saibaba, Modern coast na mengineyo hayakubali mzigo wa biashara unless ubebe kama begi... Nadhan sababu mkifika boda mizigo inachukua muda sana kuanzia kulipa ushuru na kukaguliwa hawataki kupoteza mudaKuna kitu hakipo sawa au uelewa wangu. Umesema mabasi hayaruhusiwi kubeba mzigo wa biashara?
Hapo nimekuelewa. Nilidhani serikali ndio ilipiga marufuku. Kama mzigo wako unafika angalau tani 10 na hauzidi tani 15. Ipo gari mara moja kwa week ila mzigo lazima uupeleke mwenyewe pale Langata ndo gari inapakiliamabasi ya abiria Dar Express, Saibaba, Modern coast na mengineyo hayakubali mzigo wa biashara unless ubebe kama begi... Nadhan sababu mkifika boda mizigo inachukua muda sana kuanzia kulipa ushuru na kukaguliwa hawataki kupoteza muda
Gharama zao za usafirishaji ziko aje!?Hapo nimekuelewa. Nilidhani serikali ndio ilipiga marufuku. Kama mzigo wako unafika angalau tani 10 na hauzidi tani 15. Ipo gari mara moja kwa week ila mzigo lazima uupeleke mwenyewe pale Langata ndo gari inapakilia