WISECONSCIOUSE
Member
- Jan 1, 2014
- 74
- 11
Kama heading inavyojieleza naomba msaada wenu watalamu!! Kwan niliacha simu yangu nikakuta imechezewa contacts picha n.k hazipo
Nawasilisha kwa msaada wenu WATALAAM!
Nb: Natumia simu aina ya huawei!
Nawasilisha kwa msaada wenu WATALAAM!
Nb: Natumia simu aina ya huawei!