mrackkiramadhani Member Apr 28, 2019 50 105 Jun 14, 2021 #1 Tusaidiane jinsi ya kupata passport na steps zote zinazotakiwa. Nitashukuru kama wenye uelewa na haya mambo wanisaidie.
Tusaidiane jinsi ya kupata passport na steps zote zinazotakiwa. Nitashukuru kama wenye uelewa na haya mambo wanisaidie.
Supu ya kokoto JF-Expert Member Aug 20, 2013 3,723 6,781 Jun 14, 2021 #2 Nenda uhamiaji mkuu, Mambo yote yako pale na ndio watakao kupa taarifa ya uhakika. Au unataka ya vodafasta?
Nenda uhamiaji mkuu, Mambo yote yako pale na ndio watakao kupa taarifa ya uhakika. Au unataka ya vodafasta?
Mbeba Lawama JF-Expert Member Oct 12, 2015 914 2,940 Jun 25, 2021 #4 Natumai utapata mwongozo na iyo 20 utapewa control namba ukishamalza kujaza fom utalipia wataipitia fom yako then utakuja kulipa 130
Natumai utapata mwongozo na iyo 20 utapewa control namba ukishamalza kujaza fom utalipia wataipitia fom yako then utakuja kulipa 130