Kodi kiasi gani kwa mwezi?Nyumba ipo upanga sea view nikuuzie mkataba. 10Million, mm nihame
Nchi hii wageni ndio hupewa kipaumbele. Tukiitwa manyani tunakataa
Nipe contacts zako, natafuta apartments bongo.Laki mbili per month. Vyumba vitatu vya kulala,sebure kubwa moja, baraza tatu za kupumzikia,jiko,bafu&choo Gorofa ya tatu ndio nipo .nyumba nzima ina gorofa 4. Seaview mtaa wa ruhinda karibu na aga khan hospital na mkukuta.
Jamani yoyote mwenye kujuaa jinsi ya kupata nyumba hiz za #nhc anijuzee maana nahitaji kupanga.lakini. sijui wapi kwa kuanziaaa....mwenye kujuaa tafadhaliii..😔
Daaa kwelii mwanangu cha kushangazaa utaonaaa wamejazanaa wa hindiiii tuuu.wakati lengo hasa la hizi nyumba.ni kuishi watu wenye kipato cha chiniii me huwa napataga hasiraaa xanaaaa😖😖😬
Nipe contacts zako, natafuta apartments bongo.
Nipo makini sana.Kuwa makini na matapeli
Jamani yoyote mwenye kujuaa jinsi ya kupata nyumba hiz za #nhc anijuzee maana nahitaji kupanga.lakini. sijui wapi kwa kuanziaaa....mwenye kujuaa tafadhaliii..😔
Laki mbili per month. Vyumba vitatu vya kulala,sebure kubwa moja, baraza tatu za kupumzikia,jiko,bafu&choo Gorofa ya tatu ndio nipo .nyumba nzima ina gorofa 4. Seaview mtaa wa ruhinda karibu na aga khan hospital na mkukuta.
nihitaji kuiona nyumba naomba tuwasiliane mikenile2@outlook.comLaki mbili per month. Vyumba vitatu vya kulala,sebure kubwa moja, baraza tatu za kupumzikia,jiko,bafu&choo Gorofa ya tatu ndio nipo .nyumba nzima ina gorofa 4. Seaview mtaa wa ruhinda karibu na aga khan hospital na mkukuta.