Jamani yoyote mwenye kujuaa jinsi ya kupata nyumba hiz za #nhc anijuzee maana nahitaji kupanga.lakini. sijui wapi kwa kuanziaaa....mwenye kujuaa tafadhaliii..
Either of the 2
uwe unamjua mtu nhc akupe mchongo au umjue ambae anaishi kwenye hizo nyumba akihama akupasie otherwise hamna muujiza utakaofanyika,ukienda kwenye ofice zao utalipia form na kuzijaza lakini utaambulia patupu
0754333444 wapigie. Hii namba nimeiona kwenye bango lao la mradi wa kawe
Either of the 2
uwe unamjua mtu nhc akupe mchongo au umjue ambae anaishi kwenye hizo nyumba akihama akupasie otherwise hamna muujiza utakaofanyika,ukienda kwenye ofice zao utalipia form na kuzijaza lakini utaambulia patupu
umeona eeh utasema unafukuzia visa ya kwenda sijui wapi...i was once a victimNilimaliza mwaka mzima 2011 kufuatilia na nikaambulia patupu. Mwisho wa siku nikaishia uswazi buguruni nikapanga vizuri makazi na maisha yangu sasa hata hiyo nhc sijui nini hata sina mpango nayo. Rushwa, kudalaliwa, kupoteza muda na pesa kupo nje nje