Jaman wa JF,naomben msaada wenu,my father ana biashara ya HARDWARE ina thamani ya more than 5 million anaitaji MKOPO ya 10 million kw jili ya kuiboresha hiyo biashara so problem ni kwamba liences ya biashara hiyo ameandika JINA LANGU na mim nimwafunzi nimeenda BANKS wamenipa condition:
1Nifungue A/C...Hiyo ninayo
2.CASH FLOW yang iwe nzuri. So hapa kweny CASH FLOW ndiyo na hisi nitashindwa kutekeleze coz me ni mwafunzi cash flow i mean itakuwa ni kawaida ambayo itanizuia kuchukuwa mkopo.
"NAITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NIFANYA JE"
1Nifungue A/C...Hiyo ninayo
2.CASH FLOW yang iwe nzuri. So hapa kweny CASH FLOW ndiyo na hisi nitashindwa kutekeleze coz me ni mwafunzi cash flow i mean itakuwa ni kawaida ambayo itanizuia kuchukuwa mkopo.
"NAITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NIFANYA JE"