Kutokana na tatizo la ajira TZ. Nafasi za kazi ni chache kwa upande wa fani za utawala, biashara, utalii na hata uchumi. Ushauri wangu hasa wale wanaenda vyuoni wasome kozi zenye nafasi nying za ajira hasa sayansi kuliko kukazania kozi za sanaa.
Mfn BA. Publc admistration, ambazo ni ngumu kupata ajira kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia. Koz kama biometrix engineering, geodatics, kwa upande wa tz wapo wachache sana na wanatafutwa sana.
Mfn BA. Publc admistration, ambazo ni ngumu kupata ajira kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia. Koz kama biometrix engineering, geodatics, kwa upande wa tz wapo wachache sana na wanatafutwa sana.