dah nunua account ila kufungiwa inakuhusu.. mimi nimenunua account zangu mpya nne za adsense nimezipumzisha.... propellerads na revenuehits unapiga dollar za kutosha bila presha ya kufungiwa hao google adsense hawanihusu kwa sasa.Habarini Wadau,
Natanguliza shukrani zangu kwenu nyote nina swali hapa kidogo ningependa kufahamu ni Jinsi gani naeza pata acount ya AdSense hata kama cjatimiza vigezo tafadhali kwa anaefahamu![]()
Nipe site zako nichekdah nunua account ila kufungiwa inakuhusu.. mimi nimenunua account zangu mpya nne za adsense nimezipumzisha.... propellerads na revenuehits unapiga dollar za kutosha bila presha ya kufungiwa hao google adsense hawanihusu kwa sasa.
Hii propellerads mbona inazingua Ku verify account unafanyaje mkuudah nunua account ila kufungiwa inakuhusu.. mimi nimenunua account zangu mpya nne za adsense nimezipumzisha.... propellerads na revenuehits unapiga dollar za kutosha bila presha ya kufungiwa hao google adsense hawanihusu kwa sasa.
ku-verify propellerads ni rahisi, kuna code wanakupa kwenye hiyo code unaiweka kwenye open tag ya head ya kwenye template yako.. ukishaiweka una-save, baada ya ku-save unarudi kwenye dashboard ya propellar ku-verify.. ni kitendo cha sekunde 30 tuu ku verify site.Hii propellerads mbona inazingua Ku verify account unafanyaje mkuu
Mhhhhku-verify propellerads ni rahisi, kuna code wanakupa kwenye hiyo code unaiweka kwenye open tag ya head ya kwenye template yako.. ukishaiweka una-save, baada ya ku-save unarudi kwenye dashboard ya propellar ku-verify.. ni kitendo cha sekunde 30 tuu ku verify site.
kwenye propera inabidi uende kwenye template ukaiedit kuna kodi watakupa ukiziweka pale ndo watakutumia messege ya verfication,,na maelezo jinsi ya kuweka izo code search google au propera help center utayapata

mim propeller imenigomea kbs natumia magrup ya south ila dola sion nafyatua views mpk elfu 11 nikiwa na mood ila dola za mbuz naishia na impression invary mby kbsku-verify propellerads ni rahisi, kuna code wanakupa kwenye hiyo code unaiweka kwenye open tag ya head ya kwenye template yako.. ukishaiweka una-save, baada ya ku-save unarudi kwenye dashboard ya propellar ku-verify.. ni kitendo cha sekunde 30 tuu ku verify site.
mim propeller imenigomea kbs natumia magrup ya south ila dola sion nafyatua views mpk elfu 11 nikiwa na mood ila dola za mbuz naishia na impression invary mby kbs
hua unapata cpm ya ngapi???kuna ufundi wa ku-set matangazo..mim propeller imenigomea kbs natumia magrup ya south ila dola sion nafyatua views mpk elfu 11 nikiwa na mood ila dola za mbuz naishia na impression invary mby kbs
avarage ni 1-4 sijawah kuzidi hapo fundi ni yup mkuu...ttz ni kuvary kwa impression hapo ndipo pana niumiza na kunikata moood mfano pageview elfu 16000 impression buku 2 hii nisawa mkuuuhua unapata cpm ya ngapi???kuna ufundi wa ku-set matangazo..
hapo kuna tatizo.. hiyo cpm ni ndogo sana.. page views 16,000 unatakiwa utengeneze impressions 16,000+++ kwa kuwa kama umeweka matangazo kuanzia 2++ kuna uwezekano lazima moja wapo lita count impression, na pia viewer mmoja anaweza kutengeneza impressions zaidi ya moja, pia kwa sasa kuna matangazo ya kuzuia adblockers.. Swali langu.. je hiyo traffic yako ni real traffic au bot..avarage ni 1-4 sijawah kuzidi hapo fundi ni yup mkuu...ttz ni kuvary kwa impression hapo ndipo pana niumiza na kunikata moood mfano pageview elfu 16000 impression buku 2 hii nisawa mkuuu
traffic kutoka social network mkuu facebok sana sana sina google mana sijafanya SEO pia sidhan kama itawork mana natumia ads aina 2 pop up na zile za mobilehapo kuna tatizo.. hiyo cpm ni ndogo sana.. page views 16,000 unatakiwa utengeneze impressions 16,000+++ kwa kuwa kama umeweka matangazo kuanzia 2++ kuna uwezekano lazima moja wapo lita count impression, na pia viewer mmoja anaweza kutengeneza impressions zaidi ya moja, pia kwa sasa kuna matangazo ya kuzuia adblockers.. Swali langu.. je hiyo traffic yako ni real traffic au bot..
traffic za social media ni nzuri na hazina tatizo.. jaribu kubadili template yawezekana tempalte yako ina generate fake traffic.. pia hakikisha matangazo yako yana-count impressions kwenye devices zote..traffic kutoka social network mkuu facebok sana sana sina google mana sijafanya SEO pia sidhan kama itawork mana natumia ads aina 2 pop up na zile za mobile
nijaribu ip mkuu au unarecomend ip kwa wewtraffic za social media ni nzuri na hazina tatizo.. jaribu kubadili template yawezekana tempalte yako ina generate fake traffic.. pia hakikisha matangazo yako yana-count impressions kwenye devices zote..