Mtaji wa pipi huo,bado tafuta pesa kama milion tano halafu ulete jamvini tukushauri
Ndugu zangu nina mtaji mdogo wa kama shs.milioni 2 je nifanye biashara gani ambayo inaweza kunipa faida na kuongeza mtaji nilio nao,naomba michango yenu ahsanteni nipo Mwanza
Je ukinunua pikipiki ya kufanya biashara ya bodaboda italipa?
Mtaji wa pipi huo,bado tafuta pesa kama milion tano halafu ulete jamvini tukushauri