Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #21
Superman achana na POP langu, tarehe ya kwenda kulifungua haijafika bado.
Hadith ndefu sana. Nikiifungua atanishtukia maana ni member wa JF.
Hamna neno Mkuu, ila naona kama Mkono/Mguu unaoza huo. Najua ulifanyiwa Muhimbili. kama vipi vipi tufanye harambee ukatibiwe kule alikokwenda mpiganaji wetu Harrison MwaK.
Duh, huyo jamaa aliyekupiga kibuti na kukurudia yuko humu? Mmmh au mambo ya PoP aliona hayana upako?