Pridah JF-Expert Member Joined Jul 20, 2023 Posts 1,995 Reaction score 4,011 Dec 19, 2023 #21 Pdidy said: Atengenezeatlas kabisa Click to expand... leoleo-tu said: Huyo ataje ga mansion maana akiuza tu gari moja hapo anajenga nyumba ya kawaida. Click to expand... Inawezekana ila tunaomba mansion lisiishe haraka ili maza house wake aendelee kufaudu kodi yake😁
Pdidy said: Atengenezeatlas kabisa Click to expand... leoleo-tu said: Huyo ataje ga mansion maana akiuza tu gari moja hapo anajenga nyumba ya kawaida. Click to expand... Inawezekana ila tunaomba mansion lisiishe haraka ili maza house wake aendelee kufaudu kodi yake😁
L leoleo-tu JF-Expert Member Joined Dec 18, 2018 Posts 2,243 Reaction score 6,894 Dec 19, 2023 #22 Pridah said: Inawezekana ila tunaomba mansion lisiishe haraka ili maza house wake aendelee kufaudu kodi yake😁 Click to expand... Wapo watu wengi wana tabia hiyo ila wengi wanakuwa wana pesa ya kutosha tu
Pridah said: Inawezekana ila tunaomba mansion lisiishe haraka ili maza house wake aendelee kufaudu kodi yake😁 Click to expand... Wapo watu wengi wana tabia hiyo ila wengi wanakuwa wana pesa ya kutosha tu
Pridah JF-Expert Member Joined Jul 20, 2023 Posts 1,995 Reaction score 4,011 Dec 19, 2023 #23 leoleo-tu said: Wapo watu wengi wana tabia hiyo ila wengi wanakuwa wana pesa ya kutosha tu Click to expand... Yes. Kama pesa ipo ya uhakika kujenga sio lazima
leoleo-tu said: Wapo watu wengi wana tabia hiyo ila wengi wanakuwa wana pesa ya kutosha tu Click to expand... Yes. Kama pesa ipo ya uhakika kujenga sio lazima