Jacky: Baby nipo Kariakoo kuna gauni nimeiona nimeipenda inauzwa elfu 25,000, ningenunua sema wallet nimesahau nyumbani, pls nirushie M-pesa darling
James:*150# >> tuma pesa >> kwa Jacky >> kiasi 600tshs
Jacky: Baby umekosea? mbona 600??
James: Hapana baby nauli tu, 300 kwenda nyumbani kuchukua wallet na 300 kurudi kariakoo. Vipi ni fupi hilo gauni, linakutait vizuri kale kashape kako kaonekane? maana baby ukiwa kwenye gauni fupi tight unatokaga bomba kweli. cant wait to see you love, kisses!!
Jacky:Mschewwww @%%%@ Arrrghrrrr Kabang!!
James:*150# >> tuma pesa >> kwa Jacky >> kiasi 600tshs
Jacky: Baby umekosea? mbona 600??
James: Hapana baby nauli tu, 300 kwenda nyumbani kuchukua wallet na 300 kurudi kariakoo. Vipi ni fupi hilo gauni, linakutait vizuri kale kashape kako kaonekane? maana baby ukiwa kwenye gauni fupi tight unatokaga bomba kweli. cant wait to see you love, kisses!!
Jacky:Mschewwww @%%%@ Arrrghrrrr Kabang!!