hapana! hio elfu 30 n bei ya fundi kwa mawakala wa Azam tv...kuna rafiki alinipa rcv yeny chanel ya 'muvi nyimbo' nikaipata welekeo wa sat then nikaweka king'amuzi changu cha Azam...ndo nikawa nimeweza
acha uongo wako kama uliweza kufuna azamtv utashindwaje kufunga dstv?. Acha ubahiri siku hizi kunamafundi wa kufunga madish kila kona Tz tena kwabei karibu na bure au kama utaweza dstv unapatika kwenye satellite Eutelsat W7. 36.0E Frequency..11155 symbolate 30000. Pol H.
acha uongo wako kama uliweza kufuna azamtv utashindwaje kufunga dstv?. Acha ubahiri siku hizi kunamafundi wa kufunga madish kila kona Tz tena kwabei karibu na bure au kama utaweza dstv unapatika kwenye satellite Eutelsat W7. 36.0E Frequency..11155 symbolate 30000. Pol H.