KISUNZU YP
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 114
- 37
Habarini wapendwa naombeni kujua programme au softaware yoyote ya kuitambua simu iliyoibiwa ilipo kwa kutumia IMEI namba
Tablet yangu imeibiwa sasa nina imei namba moja nataka niitrack ilipo
Tablet yangu imeibiwa sasa nina imei namba moja nataka niitrack ilipo