Jinsi ya kuflash simu aina zote

Daah nashukuru sna mkuu. Maelezo yako clear sn.
Ngoja nipige kazi naona boss anazunguka zunguka hapa asije ni mind bure!! Any time nitakupa feedback.
Ubarikiwe sanaaaaaaa.
 
hata mimi pia nina lg g2 ilipoteza imei baada ya kupgrade tu
 
Mkuu na mim napenda sana vtu hivi, ebu nisaidie nahtaji kujifunza ata kama ni kwa ada kidogo nipo tayari. Nielekeze ofisin kwako nije tuzungumze. Ajira cku hizi ngumu so inabidi tujiajiri wenyewe.
 
Ivi ikitokea umeweka firmware ambayo sio yake inakuwaje hapo?
 
Mwenye kufahamu njia nzuri ya ku-downgrade version ya simu ya Xiaomi note 4X naomba anielekeze.
 
wakuu habari..?...nina tecno C9 inatatizo la kujizima na kujiwasha yenyewe pia wi-fi haifunction yaani inagoma kuswitch on Tatizo ni nini?

msaada wa kimaelekezo ujuzi wangu ni mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…