Jinsi ya kuanzisha ofisi ya wakala wa bima mbalimbali

kiri12

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
637
555
Habari wanajukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kufahamishwa nihatua zipi natakiwa nifuate ili nifungue ofisi ya bima mabalimbali, za magari na pikipiki, pamoja na bajaji.

Ofisi tayari ninayo ninachohitaji utaratibu tu wa kufuata ili niweze namie kuwa wakala wa hizo bima.

Kwa anayefahamu au ambaye tayari ameshafungua ofisi kama hiyo naomba msaada wake anielekeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…