kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 635
- 554
Habari wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kufahamishwa nihatua zipi natakiwa nifuate ili nifungue ofisi ya bima mabalimbali, za magari na pikipiki, pamoja na bajaji.
Ofisi tayari ninayo ninachohitaji utaratibu tu wa kufuata ili niweze namie kuwa wakala wa hizo bima.
Kwa anayefahamu au ambaye tayari ameshafungua ofisi kama hiyo naomba msaada wake anielekeze.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kufahamishwa nihatua zipi natakiwa nifuate ili nifungue ofisi ya bima mabalimbali, za magari na pikipiki, pamoja na bajaji.
Ofisi tayari ninayo ninachohitaji utaratibu tu wa kufuata ili niweze namie kuwa wakala wa hizo bima.
Kwa anayefahamu au ambaye tayari ameshafungua ofisi kama hiyo naomba msaada wake anielekeze.