Jinsi ya Kuandika Project Plan

Jinsi ya Kuandika Project Plan

abou89

Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
18
Reaction score
7
Habari zenu wana jamvi
Naomba kwa mtu mwenye uelewa mzuri sana wa jinsi ya kuandaa PROJECT PLAN anisaidie.nikipata hints inatakiwa iwe na vitu gani na vitu gani na katika kila hivyo vitu kunashauriwa kuwe vipi itakuwa msaada mkubwa sana wadau
Nawasilisha
Asante
 
mkuu mi nasomea hiyo kitu. kuandaa project yoyote inahitaj upitie stage 5 muhim. mosi project identification. pili, project preparation and analysis. tatu project appraisal. nne project impelementation. mwisho project monitoring and evaluation. hayo ni kwa ufupi tu. ndan ya hayo kuna mambo meng kidogo. mi natumia simu hapa sitoweza kuweka mambo yote kwa muda mfupi. ntaenda taratib then mods wataunganisha vipande.
 
Asante kwa hints mkuu..picha inaanza kuja mzee
 
Inaonekana hata unachokitaka hukijui, kama umeweza kuperuzi mambo mengine mengi kwenye mtandao kwanini unashindwa kuperuzi mambo ya "project concepts?"
 
Kwenye project identification kuna vitu gani na vitu gani
 
1. PROJECT IDENTIFICATION. Hii ni hatua ya mwanzo kabisa katika kuandaa project. hapa unatambua issue gan unataka kuanzishia project. hapa yakupasa uchambue mambo 2. Kwanza needs assesment, hapa utaangalia jamii inataka nin, na nan ataathirika na huo mrad. pili utachambua capacity assesment. hapa utaangalia uwezo wa jamii katika kutekeleza huo mrad kutokana na rasilimal zilizopo. Pia katika stage hii ya kwanza, napo kuna hatua 4 yakupasa upitie. 1. uwe na wazo la kuanzisha project kutokana na assesment ya vitu viwil ulovyanya yaan need and capacity assesment.2. Uchambuz wa wazo lako. kwa mfano kutokana na shida ya maji wanayopata wanakijiji ukaamua kuanzisha mrad wa maji. lakin lazima uchambue mabomba yawepo kila baada ya nyumba ngap, na je yawe yanatumia koki ngap. ni uchambuz wa mawazo yako. 3.Kuna kitu kinaitwa screening, hapa utafanya review ya mawazo yako bada kupanga katika hatua ya pil.dhumuni ni kuona ulichokipanga kinawezekana ama hakiwezekan? kama haiwezekan tafuta alterntative.itaendelea hatua ya 4
 
4.Prioritirtation, hik ni kitu cha mwisho cha kuzingatia katika project identification. hapa utachagua na kupanga vitu vya kuvipa kipaumbele. na kuna vigezo utakavyozingatia katika kutoa kipaumbele. vigezo hivyo ni kama;1. wing wa watu na ukubwa wa eneo utakaothirika na huo mrad 2. Suala la uchumi, nchi, mkoa au kata itanufaika au itapata hasara, wanach wa eneo hilo watanufaika vipi kiuchumi kutokana na mrad huo? 3.Mazingira, huo mrad utatunza na kulinda mazingira au utaharibu? 4. Hal ya Kijamii, itapunguza umaskin? 5. Sera, je unachokifanya kinaendana na sera ya nchi? 6. Rasilimal, zipo za kutosha kutekeleza mradi? 7. una Support kutoka kwa jamii na wanasiasa? hao wat wana nafas ya kufanikisha au kuzima project yako. Baada ya kumaliza hatua hizo katika project identification. andaa kitu kinaitwa concept. hapo utaorodhesha data muhimu ulizopata baada kujiuliza yale maswal.yasiwe maelezo maref just summary. hiyo summary utawaonyesha wanaokufadhil katik mradi ili japo idea ya kinachoendelea. inaendelea.
 
Sio kitu ambacho unaweza kuperuzi rahis mkuu..ndo mana nikaomba msaada..kwani we unajua?@
 
4.Prioritirtation, hik ni kitu cha mwisho cha kuzingatia katika project identification. hapa utachagua na kupanga vitu vya kuvipa kipaumbele. na kuna vigezo utakavyozingatia katika kutoa kipaumbele. vigezo hivyo ni kama;1. wing wa watu na ukubwa wa eneo utakaothirika na huo mrad 2. Suala la uchumi, nchi, mkoa au kata itanufaika au itapata hasara, wanach wa eneo hilo watanufaika vipi kiuchumi kutokana na mrad huo? 3.Mazingira, huo mrad utatunza na kulinda mazingira au utaharibu? 4. Hal ya Kijamii, itapunguza umaskin? 5. Sera, je unachokifanya kinaendana na sera ya nchi? 6. Rasilimal, zipo za kutosha kutekeleza mradi? 7. una Support kutoka kwa jamii na wanasiasa? hao wat wana nafas ya kufanikisha au kuzima project yako. Baada ya kumaliza hatua hizo katika project identification. andaa kitu kinaitwa concept. hapo utaorodhesha data muhimu ulizopata baada kujiuliza yale maswal.yasiwe maelezo maref just summary. hiyo summary utawaonyesha wanaokufadhil katik mradi ili japo idea ya kinachoendelea. inaendelea.

Heshima kwako mkuu kwa darasa, endelea kutupa chakula cha ubongo.
 
leo uck ntaendelea stage ya pil ambayo ni Project preparation and analysis.
 
Habari zenu wana jamvi
Naomba kwa mtu mwenye uelewa mzuri sana wa jinsi ya kuandaa PROJECT PLAN anisaidie.nikipata hints inatakiwa iwe na vitu gani na vitu gani na katika kila hivyo vitu kunashauriwa kuwe vipi itakuwa msaada mkubwa sana wadau
Nawasilisha
Asante
Ni vizur kwanza ungesema unataka plan ya aina ip ya project coz kuna aina kuu za project ambazo ni 3 ni community project, capital intensive project and small or profit making
project....
Let me assume you want a community project so in a conmunity project kuna hatua 3 muhimu ndizo ambao zinahusika na kuaandaa mradi wa jamii.... Ambazo zinajulikna km "project life cycle" ndani ya project life cycle tunakutana na mambo muhimu matatu (3 phases) ambayo you as planner utayatumia kuandaa mradi wako... Nayo ni Planning phase., implemmentation and monitoring and evaluation.M&E.
1. PLANNING PHASE.
Hii ni hatua ya mwanzo. Ambyo itahusika na shughuli km vle situational analysis.. Hatua hii ni muhimu kwan utaweza kuifaham vizur jamii unayoiandikia mradi... Vle vle kutakua na Needs assment... Ambapo kweye needs assessment utaweza kugundua matatizo ya jamii then utayapa kipaumbele tatizo lip ni muhimu xna(prioritization of needs) obviosly kuna matatizo mengi xna kwenye jamii. Kati ya hayo mengi utachagua baadhi ambayo ni makumbwa zaidi ... Aidha kwwnye planning phase kitu cha mwisho ni descriptions of goals and objectives za mradi wako.
2. Implemmentation phase.
This implies carrying out what you has been planned. (kwenye phase ya mwanzo)
3. Monitoring&Evaluation.......... Hii nitaifafanua mda mwengine Hope kwamba imetoa mwanga kdg?
 
Back
Top Bottom