Jinsi ya ku-hack password ya facebook.

Jinsi ya ku-hack password ya facebook.

manuu

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2009
Posts
4,064
Reaction score
10,745
Salam mbele wataalamu wooooote pamoja na we unaesoma post hii.
Swali langu ni je kuna mtu anaweza ku-hack password ya facebook ya mtu
iwapo huyo mtu kanipa user name yake?
 
Kwanini uhack?
Yaelekea mke/gf wako anakupiga matukio sana! Unataka ujue ambacho huwa anafanya huko!
Poleee
 
Salam mbele wataalamu wooooote pamoja na we unaesoma post hii.
Swali langu ni je kuna mtu anaweza ku-hack password ya facebook ya mtu
iwapo huyo mtu kanipa user name yake?

huna kazi wee ****
 
Kwanini uhack?
Yaelekea mke/gf wako anakupiga matukio sana! Unataka ujue ambacho huwa anafanya huko!
Poleee
Sheikh ubwabwa vp. Jua linazama na huu ndo muda muafaka wa kutuliza njaa saa.
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Sheikh ubwabwa vp. Jua linazama na huu ndo muda muafaka wa kutuliza njaa saa.</span></font>
Zimebaki dk chache sana! Usitake kuniharibia siku yangu
 
<b>Salam mbele wataalamu wooooote pamoja na we unaesoma post hii.<br />
Swali langu ni je kuna mtu anaweza ku-hack password ya facebook ya mtu <br />
iwapo huyo mtu kanipa user name yake?</b>
<br />
<br />we jamaa ni pumbavu kabisa
 
you need to hack first the email used in facebook, username only is not enough.
 
Kama unaweza kupata computer anayotumia huyo unayetaka kumhack, yes! it is possible.
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">presha na mapigo makali ya moyo huanza pole pole........</span></font></font>
<br />
<br />
hapo tunasema mapigo ya moyo yanaanza kukosa nidhamu!!
 
<font size="4"><span style="font-family: comic sans ms"> Akili yako inaongozwa na tumbo kwa sasa Sheikh ubwabwa. hahahaha</span></font>
<br />
<br />
....hili ni jukwaa la science & technology ambapo mtu anaruhusiwa kuuliza lo lote linalohusiana... Matusi na malumbano hili si jukwaa lake. Kama jambo lililoulizwa hujui ni vema kuachia nafasi kwa wataalam wakachangia. Hili ni jukwaa makini.
 
<br />
<br />
....hili ni jukwaa la science & technology ambapo mtu anaruhusiwa kuuliza lo lote linalohusiana... Matusi na malumbano hili si jukwaa lake. Kama jambo lililoulizwa hujui ni vema kuachia nafasi kwa wataalam wakachangia. Hili ni jukwaa makini.
Nenda shule kuna umakini zaidi.
 
inawezekana hujafukua post zilizopita. Kuna post moja ilitundikwa na SHAROBARO humo alieleza kila kitu kwa mapana tena akasema nilazima kwanza uwe na simple website ili kufanikisha.ningekuwa natumia pc hapa ningekuwekea link ila usikate tamaa kwa maneno ya jf members,hii ndo jamiiforums bana subira mbele kama bomba la gobole kama hauna subira unaweza kuwa mdogo kama pilton.
 
Back
Top Bottom