Jinsi Viongozi wa Serikali wanavyokula Kodi na Pesa za Mikopo

Jinsi Viongozi wa Serikali wanavyokula Kodi na Pesa za Mikopo

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,711
Reaction score
5,641
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
 
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
Hujatoa mfano hata mmoja kusapoti hoja yako.
 
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
Tuleeteeni LISU
 
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
Waziri mkwe wa rais ndiye anayeongoza kwa utajiri wa kutisha akifuatiwa na yule mwizi Mkuu aliyepewa hazina
 
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
Naomba Mungu niwe hai siku upinzani unaingia madarakani...tujue ya..

1.DP World
2.BRT
3.Hifadhi za misitu
3.Gas
4.Madini.

Hii mikataba yenye maslahi ya umma yote imekuwa na uwalaakini mkubwa!
 
Nakiri kabisa ni kweli Mange anavyosema kuwa Viongozi wa Serikali wanajilimbikizia mali, kupitia mikopo na kodi za Serikali.

Viongozi wa Serikali licha ya kunufaika kwa kuwaingiza watoto wao Serikalini na kuwapa ajira na teuzi za upendeleo, huo ni upande mmoja wa namna wanavyojinufaisha.

Njia nyingine kubwa inayowapa utajiri mkubwa viongozi wa Serikali ni kupitia zabuni zinazotolewa na Serikali. Taasisi zote kubwa za Serikali zinazoongoza kutoa zabuni kubwa, huwa kila kitu kinakuwa controlled na Ikulu kupitia wizara husika. Hata ishu ya Richmond ilianzia Ikulu na kusimamiwa na Lowassa.

Kinachofanyika, Serikalini kwa kuona umuhimu, ama ikijisikia tu inaanzisha mradi au miradi, mingi ambayo kwa kweli ina manufaa kwa wananchi — Serikali ikianzisha miradi hiyo inaenda kukopa pesa kwa niaba ya wananchi ili kutekeleza miradi hiyo. Hapo tayari ikiwa na kampuni zao mifukoni (za hao mafisadi) ambazo ndizo zitakazofanya kazi hizo.

Taasisi au Serikali zikitangaza zabuni, ni mambo yale yale ya NEC na tume zao za maigizo. Bodi za zabuni na wakuu wa taasisi hupewa maelekezo kampuni fulani zipatiwe hiyo kazi, hivyo mchakato wa utoaji zabuni haupo huru. Na huku ndiko wanakopata huo utajiri mkubwa. Hili ni jambo kubwa la mgongano wa maslahi.

Ishu nyingine ni ya uchaguzi. Pale ni maslahi tu. Tena maslahi ya kupata madaraka na pia ya kupata fedha nyingi. Viongozi wa Serikali na CCM wametenga bilioni 700 za uchaguzi na wameshagawana tenda za zabuni mbalimbali za mambo ya uchaguzi. Hivyo, lazima walazimishe uchaguzi ufanyike tena ule usio wa wazi.

Sukari nayo ni hivyo hivyo.

Nalia machozi kwa uchungu. Nchi ipo mikononi mwa wachache. Msione Makonda anawapenda sana, ni ubunge wa maslahi binafsi.
Acha wale mzee.......survival of the fittest. Uko tayari kuji risk siasa za namna yao?
 
Naomba Mungu niwe hai siku upinzani unaingia madarakani...tujue ya..

1.DP World
2.BRT
3.Hifadhi za misitu
3.Gas
4.Madini.

Hii mikataba yenye maslahi ya umma yote imekuwa na uwalaakini mkubwa!
Yani tutaona uovu ambao Hatujawahi kushuhudiwa
 
Ni huzuni kubwa sana
Umeonae ndugu yangu. A scholarly article LAZIMA iwe na mifano kuntu ili kuthibitisha ya kwamba unachoandika ni kweli. Sasa, unakuta mtu anaandika tu, halafu eti ameandika kwa codes. Ujinga mtupu!
 
Mbona hata Ile asilimia kumi ya mikopo vijana ni hivyo hivyo, mnaunda vikundi kwa mtendaji ...mnafundishwa vizuri pesa hazitoki. Wanachagua vikundi vyao wanawastua ....assume mmeomba milioni 50, mnajiingiza mkataba wa sili ili mpate hela...milioni 5 mnawapa wale wasimamizi ndipo mnapata zilizobakia 45 milioni....lasivyo hawatoi pesa miaka yote mtasubiria tu😋. Ndio maana kuzirudisha watu wanagoma....wanaona mmekula wote alafu kikundi kidogo wawajibike kulipa zote
 
Back
Top Bottom