Jinsi nilivyopata utajiri kwa mganga kule Sadani Bagamoyo

Mganga anakupa utajiri wa kununua pikpik dujh kwel watu ni maskini wa pesa ad akili wenzako wanaroga wajenge magorofa ww unaroga ununue pikpik
Hapo ulipo wewe una sh ngapi?? Piga picha kiasi chochote ulichonacho nami nitakulipa (nami nitapiga picha inayoonesha hicho kiasi) picha iwe na kikaratasi chenye sign ya ID hii unayotumia.
 
Sio kila muomba dua anamuomba MUNGU muumbaji wa mbingu na nchi. Wengine wanamuomba mungu wa duniani tuu, wengine mungu wa kabila

MATENDO YA MITUME 8:9-20
"Na mtu mmoja, jina lake Simoni, hapo kwanza alikuwa akifanya uchawi katika mji ule, akiwashangaza watu wa taifa la Wasamaria, akisema ya kuwa yeye ni mtu mkubwa.
Wote wakamsikiliza tangu mdogo hata mkubwa, wakisema, Mtu huyu ni uweza wa Mungu, ule Mkuu.
Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.
Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.
Na yeye Simoni mwenyewe aliamini akabatizwa, akashikamana na Filipo; akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka.

Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana; ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.

Hata Simoni alipoona ya kuwa watu wanapewa Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono ya mitume, akataka kuwapa fedha akisema, Nipeni na mimi uwezo huu, ili kila mtu nitakayemweka mikono yangu, apokee Roho Mtakatifu.
Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe, kwa kuwa umedhania ya kuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali."
Bwege ww
 
Sio kila muomba dua anamuomba MUNGU muumbaji wa mbingu na nchi. Wengine wanamuomba mungu wa duniani tuu, wengine mungu wa kabila

MATENDO YA MITUME 8:9-20
"Na mtu mmoja, jina lake Simoni, hapo kwanza alikuwa akifanya uchawi katika mji ule, akiwashangaza watu wa taifa la Wasamaria, akisema ya kuwa yeye ni mtu mkubwa.
Wote wakamsikiliza tangu mdogo hata mkubwa, wakisema, Mtu huyu ni uweza wa Mungu, ule Mkuu.
Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.
Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.
Na yeye Simoni mwenyewe aliamini akabatizwa, akashikamana na Filipo; akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka.

Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana; ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.

Hata Simoni alipoona ya kuwa watu wanapewa Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono ya mitume, akataka kuwapa fedha akisema, Nipeni na mimi uwezo huu, ili kila mtu nitakayemweka mikono yangu, apokee Roho Mtakatifu.
Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe, kwa kuwa umedhania ya kuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali."
We na huyo yyyyesu wako wotte maccchoko
 
Acha vitisho.

Walokole huwa mnajikuta nani hapa dunian? Yaan mnajikuta watakatifu sana na kuyajua sana mazuri na mabaya,

Kuna maisha unayapitia hata huyo Yesu wenu anakuwa hana msaada kwa lolote maajabu huyo mnaemuita shetan anawasaidia hawa wenye shida unadhan watu wataacha kwenda kwa waganga?

Mtu anaedharau watu waliokwenda kwa waganga kujitibia huwa namuona kama mtoto bado au kazaliwa ktk familia tajiri hivyo hajui ugumu wa maisha kwa kuhangaikia maisha+afya uku ukiwa hauna msaada wowote mpaka akili inachoka.

Shida ni nyingi wajameni mtu anapopitia magumu msiwe wepesi kuhukumu, tunapitia mengi si kwa kupenda, acheni vitisho vya kipumbavu, nguvu mnazotumia kuwatisha watu zitumieni kuwapa mwangaza wa kutimiza ndoto zao au kuwaombea ktk hayo maombi yenu ambayo hayanaga majibu wala hayafanyi kazi isipokuwa vitisho.
Upo sahihi kiongozi, miongoni mwa watu waliopitia shida nimi pia usinisahau.
Yote katika yote niliwaza kwenda kwa waganga lkn roho ilisita kulingana na mafundisho ya vitabu vitakatifu.
Nilijisemea kama nakufa nifie miguuni mwa Yesu anayejigamba kusaidia watu.

The rest is history, jambo la msingi yatupasa kuwa wavumilivu maombi binafsi yanamfanya Mungu akusaidie hata kama ulikua wa kufa.
Saa zingine heli ufe mikononi mwake kuliko kwa shetani anaejifanya kusaidia msaada ambao ni artificial.
 
Inamalizikia.Basi tukaondoka na wale madogo tukarudi nyumbani.Baada ya wiki moja hivi nikapata dereva wa kile chombo.Mahesabu alikua analeta kila siku na ilikua haisguki 40,000 kwa Siku mbili na Mara nyingine mpaka 80,000 kwa siku huwezi amini ilikua inaletwa na order za kubeba watu kuwapeleka vijiji vya mbali zilikua kede kede.

Basi ikawa kama miezi 6 hivi na Mimi nikawa nimeshajua kuendesha kile chombo na nikawa na nyingine sasa mda mwingine nakula vichwa mwenyewe weekend.
Baada ya mwaka mmoja niliondoka huko kijijini.Ile pikipiki sijauza mpaka leo. Nyingine niliuza ila ile tulioisomea dua bado ipo.
MAAJABU YAKE. Ni kwamba kila nitakapoipanda hii pikipiki lazima nipate hela.Hata kama sikuondoka na chochote ntapata hela.Hii issue sijawahi kumwambia ndugu yoyote au mtu yoyote.
Wamekuja watu kadhaa wakitaka niwauzie ila nilikataa.Nikiipanda ntapata dili lolote linalohusiana na hela.



Mwisho.Hii ni tukio la kweli na sio chai ndugu.Sikufundishi uende kwa waganga ila wenyeji wa kule walinishauri hivyo kufanya hio dua.
Ila pamoja na hayo ashujuriwe Mungu aliye hai.Yeye ndie muweza wa yote.
Haya sasa tuambie tunafikaje kwa huyo mtaalam.
 
Back
Top Bottom